Balozi wa Ugiriki nchini Brazil auwawa baada ya kumfumania mkewe...!

Katoka ugiriki kaenda kuoa hukonlatini amerika.
Walatini kugawa papuchi ni kama kunywa uji.
Nakumbuka kuna siku nilikuwa internet cafe "europe" nachati kwenye website moja inayoitwa bongo 5" ilikuwa around 2006-7"
Akaja mtoto wa kilatin kalewa chakari.. Nikambeba hadi geto kilichotokea ni siri yangu.
Hahaha.
Hongera kwa kukaribia kuumaliza mwaka mkuu.......
 
Aaaaa brother mbona unakuwa kama mtoto mdogo.
Kutapikiwa nayo ni issue kwani.
Usiombe ukutane na mtoto wa kilatini.
Watanga wamesingiziwa.
Kwanza lafudhi yao na makelel yake tu ni bashasha tosha
Hawa ndo wale wanapiga kelele kama watangazaji mpira wa enzi ziiile za RTD, unasikia kelele na Goooo vingine wanajua wao tu
 
Back
Top Bottom