Watanzania wengi walioko Uingereza wanaogopa sana hizi Formal Meetings kwasababu wengi wako kule kiholela. Kibaya zaidi ni kwamba Watanzania waishio Uingereza wana matabaka sana na ushirikiano hakuna kama miaka ya nyuma.
Wachache sana ndiyo wana tabia za kushirikiana lakini wengi wao ili uwe rafiki yao ni mpaka wajue wewe ni mtoto wa nani au unaishi sehemu za kishua.
NB: Japo hizi High Commissions zilianza kuzorota baada ya Serikali ya CCM kuanza kuleta undugu pale Foreign Affairs.
Unakuta kiafisa Ubalozi ni kitoto cha fulani na kina dharau kweli, hata ukienda pale havikujali vipo vipo tu(Full Upumbavu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.