Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji kukutana na M/kiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU kutoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji

Chanzo cha huu uzushi wako ni kipi??? Hujataja mbona.
Chanzo ni huyo hapo chini.
EnMyip2XUAM_RKG.jpg
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Anaenda kuaibika tu kwa sababu Kuna hoja nyingi tu zisizojibika
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Bado mnataka misaada ya mabeberu?
 
Kutokana na unyeti wa hili suala, asiachiwe huyo balozi peke yake kulishughulikia. Iundwe timu ya wajumbe wasiopungua watatu chini ya balozi wetu Sweden, litamalizwa mapema sana.
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Umeharibu uzi wako hapo ulipohusisha EU na Ufipa! Yaan bado mnahangaika na watu waliokataliwa na wananchi? Miafrika sijui nani katuloga jamani! Kha!!
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Nimetumia bando langu kusikiliza mjadala wote ule.Ulikuwa mjadala wa kamati yao na kwa bahati tumepata muda wa kuusilikiliza.Siioni cha kwenda kujibu,kama ni uongo basi umeanzia katika wawakiishi wao na kuna Bwana mmoja alikuwa akirudia "our people at the ground".EU ina office hapa na 2018 tulifukuza mwakilishi wao,kwa hiyo tumekuwa katika mvutano nao ingawa kichinihini kwa miaka miwili.
Jambo la pili walitamka wazi kuwa kuna kipengele amabcho kama wanatakakuikatia misaada Tanzania wanatakiwa wakitumie lakini mjumbe yule akaeleza ya kuwa hatujafikia huko.
Kuna sehemu katika utawala huu ambapo panaleta matatizo na ni "KUKUBALI KUKOSEA".Ifike mahali tukubali kuwa katika jambo fulani tumekosea na tujirekebishe.
Ukali wa mweneyekiti ni kama ukali Ndugai akimkoromea Lema au Mdee,ni kawaida!!
 
Anadhani McAllister ni katibu mwenezi wa Chadema. Acha akutane nae akajichore.
Hii mijitu ya CCM bure kabisa........

Hivi wanadhani watawadanganya hao "mabeberu" wa Ulaya kama wanavyotudanganya sisi?

Nyinyi CCM mnajua wazi kuwa hapa nchini kila kitu mmebana, kuanzia Tume ya uchaguzi CCM, Polisi CCM, Wasimamizi wa Uchaguzi CCM, Mahakama CCM!

Hivi unadhani katika mfumo huo unaobana kiasi hicho, wapinzani watakatizia wapi hapo?
 
Uko na mdomo wa bure na kijismatifoni cha kuazima, sasa una uhuru wa kubwabwaja lolote. Au ndo Mr Mzungu & Bob Amsteedam aliwaleta kuvuruga uchaguzi???
Mkuu lakini Sirro amekiri watu kuuawa hasa Zanzibar kwenue uchaguzi sasa sijajua tafsiri hasa ya neno 'amani na salama'
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Mbona ni kawaida kwa MWIZI yeyote.. hata akikutwa na manyoya, minofu na kichwa, mwizi huendelea kubisha kuwa hakuiba.
Mc Allister na wenzake siyo wajinga
 
Katika taarifa ya habari ya Channel 10 ya usiku wa jana tarehe 20 Novemba 2020, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Mwakilishi wa Tanzania kwenye Umoja wa Ulaya Mhe Jestas Abuok Nyamanga ameeleza kuwa siku ya tarehe 19 Nov alimwandikia barua Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya Mhe David Mc Allister kumwomba apewe nafasi ya kutoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti huyo na Kamati yake dhidi ya taarifa mbalimbali za upotoshaji. Ameeleza kwenye mahojiano hayo na Channel 10 kuwa jana tarehe 20 Nov, Mwenyekiti huyo alimjibu na kukubali kukutana naye na kwamba atampangia tarehe.

View attachment 1631130
My take:
Kila uongo wanaotengeneza na wana Ufipa unazidi kubainika ndani na nje ya nchi. Ama kweli njia ya mwongo ni fupi
Kama ni uongo anakutana naye ili wafanyenini?
 
Mahojiano yalifanyika "live" kila mtu akaona, nawashangaa sijui mnahangaika nini, wametaka maelezo kwanini mlikula pesa za Corona wakati mlisema haipo Tanzania, wakasema nchi yetu imekuwa "regime state" and basing on the results of our past general election, hili nalo ni kweli, mlilazimisha ushindi.

Kuomba kikao na huyo jamaa hakutafuta ukweli huo hapo juu, msituone watoto eti kwasababu mtakaa nae meza moja ndio mtamaliza hilo tatizo, nachojifunza kutokana na haya mahangaiko yenu kumbe hamjiamini, mnajitutumua tu "taifa huru" kuwadanganya wasiojielewa.

Anyway, mmeambiwa mtapangiwa tarehe ya kumuona, na siku huyo balozi akienda mwambieni asitetemeke ndio atazidi kuharibu.
Balozi ndiyo wajibu wake wa kidiplomasia msimfundishe kazi wacha aonane na Mwenyekiti. Katika uzi wangu uliopita humu nilieleza umuhimu wa kipindi hiki kufanya kazi yao kiweledi kupangua hoja na tuhuma zinazochafua nchi yetu.
 
Hii mijitu ya CCM bure kabisa........

Hivi wanadhani watawadanganya hao "mabeberu" wa Ulaya kama wanavyotudanganya sisi?

Nyinyi CCM mnajua wazi kuwa hapa nchini kila kitu mmebana, kuanzia Tume ya uchaguzi CCM, Polisi CCM, Wasimamizi wa Uchaguzi CCM, Mahakama CCM!

Hivi unadhani katika mfumo huo unaobana kiasi hicho, wapinzani watakatizia wapi hapo?
Viongozi wa dini,ccm. Vyombo vya habari, ccm. watumishi wa umma, ccm. Wasanii, ccm. wanafiki wote pamoja na maprof wa jalalani, ccm. wajingawajinga wote, ccm. Nk, nk.
 
Back
Top Bottom