mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Nakumbuka sana hio na ndio maana CCM mna kauli mbiu yenu isemayo baada ya Mungu ni Mzungu.Kwani hukumbuki wakati Mr Mzungu aliposhindwa uchaguzi & maandamano kubuma akaamua atimkie kwa Bob Amsterdam & mabeberu wengine???