Balozi wa Tanzania Marekani Wilson Masilingi atembelea Ofisi za NEC Dodoma na kuipongeza kuendesha vizuri Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,206
4,698
Mhesh Balozi Wilsoni Masilingi amefanya ziara muhimu kwa kutembelea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zilizopo eneo la Ndejengwa Jijini Dodoma.

Mhesh Masilingi ameiopongeza sana Tume hiyo kwa kufanikisha kujenga jengo la kisasa ambalo ni makao Makuu yake.

Aidha ameipongeza sana Tume hiyo ya Uchaguzi inayoongozwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera kwa kuendesha na kufanikisha vizuri sana Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kutumia fedha za ndani.

Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
 
Binafsi na kataa, kama Katoa hoja ya maboresho kuwa huru pia kuizungumzia,usione shida. Sii yale mambo ya nyeusi ni nyeupe na nyeupe nyeusi.
 
Mlamba viatu mzee huyu aliyeshindwa kutumia elimu yake kujiajiri na kuamua kuwa mtumwa wa kuajiriwa. Zee hili liko late 70s halitaki kustaafu.

Nyambafu!
 
Huyu fala hakusukia huko Marekani kuwa wamewawekea vikwazo tume ya uchaguzi kwa kuuvuruga
Zee lizima linakuwa mlamba viatu wa Jiwe
Hovyo kabisa
 
Mhesh Balozi Wilsoni Masilingi amefanya ziara muhimu kwa kutembelea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zilizopo eneo la Ndejengwa Jijini Dodoma.

Mhesh Masilingi ameiopongeza sana Tume hiyo kwa kufanikisha kujenga jengo la kisasa ambalo ni makao Makuu yake.

Aidha ameipongeza sana Tume hiyo ya Uchaguzi inayoongozwa na Mkurugenzi wake Dkt Mahera kwa kuendesha na kufanikisha vizuri sana Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kutumia fedha za ndani.

Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Uchaguzi Bora kabisa Duniani kupata kutokea kuingia kwenye Rekodi
 
Anatembelea nec huku ubalozi marekani umefungwa mwaka mzima watu hawapati passports zao! Ovyo!
 
Sawa, mlitegemea aseme uchaguzi sio wa haki na ulijaa udanganyifu kwa kiwango cha kutisha?
Asingeweze, aliyemteua huyo masilingi yupo hai na aliyemteua huyu msimamizi wa uchaguzi nae yupo hai!
 
Back
Top Bottom