LEMONT BISHOP
Member
- Oct 29, 2014
- 85
- 88
Hivi kuna mwenye profile ya huyu jamaa?
Iko kwenye standing orders za serikali, watumisho wote wa umma, wanaposafiri kwenda nje ya nchi, pamoja na mambo mengine, pia hulipwa outfit allowances ili wavae nadhifu!, hivyo yeye anaitumia ipasavyo kuvaa nadhifu!. Hao watumishi wengine ambao unawaona wanavaa kawaida, ile allowances wanaibania ili kurudi na suitcases za zawadi!.inaonekana ana spend pesa nyingi sana kununua nguo
au uko foreign wanapewa vocha za kununua suti za ghali?
Mkuu Janjaweed rekebisha kidogo statement yako, sio cheap popularity bali cheap publicity!.he is young and a diplomat
Tatizo ni mtu anayependa sana cheap popularity... ni kama tozi fulani la kimtindo
I have had time ya kukaa naye hotel moja kwa kama siku nne... kusema kweli sikuona kama ni mtu mbaya, but i think utoto haujamwisha kabisa
Huyu ndiye wanayesema ni fluent in over 12 languages lakini ni arrogant au siyo huyu?
nashangaa sana wana JF
Hivi ujanja wenu wote mmeshindwa kumuweka wazi huyu jamaa? yaani kila kitu lazima nije niwawekee sawa?
Huyu alikuwa foreign, kisha akapandishwa cheo Ikulu kisha akapanda zaidi to USA kisha akapandishwa zaidi to UN WEST AFRICA baadae karudishwa hapa Dar baada ya muda kapanda tena Dubai.
Huyu jamaa ubishoo anao si uwongo lakini inaonekana alipata mwanamke wa kiblack america (sizungumzii yule CIA aliyejikita kwenye serikali yetu) bali kule kule USA matokeo yake akabadilika usafi kwenda kwa mbele na kama mnavyomjua tena JK hupenda wafanyakazi wake wawe smart sio kuvaa magube gube kama akina gurumo japo wanapesa.
Tatizo lake kubwa kama aliyosema huyo dada hapo juu...ZIPU hafungi. Na naona angekuwa kule GUANGZHOU kwenye post ya yule Myemen ( BALOZI MDOGO WA TANZANIA BWANA SALAAH WA HOME SHOPPING CENTRE) bas wake zenu na hawa ma star wote wakike wanaokwenda kule angekuwa anawapa msaada mkubwa mno.
Kikazi anafaaa? Hili silijui kwa kuwa tushajua kama ni weak kwenye upande wa mabinti ni rahisi sana huyu kutoa siri za nchi akipelekewa mbunye.
bora wangempa ubalozi BurkinaFaso ukurugenzi wa biashara wizara ya kilimo kumshikisha adabu mpaka awe mpole
mchana nitarudi tena na mafaili yake kama ya yule Myemeni wenu wa kule china
Lemont Bishop-
Kiprotokali bado kuwa Balozi kamili ila ni Balozi wetu mdogo Dubai.Sifahamu sana elimu yake ila ninavyofahamu alikuwa mwakilishi wa UNOPS huko Sierra Leone kwa muda.Inasemekana yuko karibu sana na mtoto mkubwa wa Mkuu wa nchi na mara baada ya mkataba wake UN kwisha alipewa kazi MoFa (sidhani kama ni kwa upendeleao kwa sababu ana uzoefu) na baadaye kupandishwa mpaka kuwa Kaimu Mkurugenzi wa kitengo na hatimaye Balozi wetu mdogo Dubai.Bado sio Balozi kamili.Niseme tu anafahamu sana eneo la self-promotion!
a very foolish contribution and unproductive one. Tutafute kazi za maana na tuachane na Wivu na Umbea
a very foolish contribution and unproductive one. Tutafute kazi za maana na tuachane na Wivu na Umbea
Hivi humu JF kuna mtu ambaye habaru zake hamuna?
Naamini kuwa JF ni branch ya TISS. Haiwezekani mkawa na ao much data na zingine za ndani kuliko hata hao wanaofanya naye kazi.
Lakini na mimi naweza kuongezea tuu kuwa huyu jamaa sifa yake nyingine ni ambitious. Sitoshangaa kusikia kampindua Membe pale foreign