Balozi wa Sweden atembelea Ofisi za JamiiForums

Naomba kazi Jf , hata ya kumlinda Mello
Nyie
Suma JKT mna makasiriko Sana tusije kukupa kazi ukamtengua nyonga
boss @Maxence Mello kisa kakubania buku ya kwenda kunywa gongo maana Kwa vizinga hamjambo nyie😁
Halafu weka CV Yako hapa usije kua mlinzi wa mchongo kama Urio Kwa Mbowe ohooooo hatupendi matatizo sisi
Eboooo!
😁😁😁😁😁
 
Hivi hapo JF hakuna mapandikizi ya usalama wa taifa kwelii !?? isije kuwa nyeti zetu zipo wazi mbele ya kadamnasi
Dah mkuu utamjuaje sasa..
Nikuomba tu Mungu..
Tusije kua tunakata viuno umu kumbe tuko uchi kwa wenye mamlaka
 
Hii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana.

Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE.

Mungu ibariki JF

=========

Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.

Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.

JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao


Ila izi pisi kali kuonekana hapo hadharani ivyo kiusalama kwetu inakuwaje hapo
 
Nyie
Suma JKT mna makasiriko Sana tusije kukupa kazi ukamtengua nyonga
boss @Maxence Mello kisa kakubania buku ya kwenda kunywa gongo maana Kwa vizinga hamjambo nyie
Halafu weka CV Yako hapa usije kua mlinzi wa mchongo kama Urio Kwa Mbowe ohooooo hatupendi matatizo sisi
Eboooo!
Kaka mimi nina bachalor ya IT, alafu mlinzi wa Suma jkt... Naomba kazi
 
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua ....nafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali


Pamoja na mambo mengine wameweza kujua tunavyofanya uchechemuzi wa hazi kidijitali....

What the hell is that ??? Pamoja na mambo mengine, mengine yepi ???

Wazungu huwa hawana safari za kujuliana hali na kushangalia computer za ofisi..... hahahaaaaaaa

basi waalikeni na serikali waje kukagua mnavyofanya uchechemuzi wa kidijitali!

Jamvi la utandawazi limeficha agenda ya mkutano....
 
Back
Top Bottom