Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,493
- 7,094
[Color= blue]Akili za kitanzania bwana, njaaa nyingiMbona wote wembamba kuna hela kweli jf?
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
[Color= blue]Akili za kitanzania bwana, njaaa nyingiMbona wote wembamba kuna hela kweli jf?
NyieNaomba kazi Jf , hata ya kumlinda Mello
Dah mkuu utamjuaje sasa..Hivi hapo JF hakuna mapandikizi ya usalama wa taifa kwelii !?? isije kuwa nyeti zetu zipo wazi mbele ya kadamnasi
Mkuu kauliza jambo la msingi ukiwaza kama gt katkat ya hiyo line kuna ya kufikiri..
NdiooUnataka kunitathimini kwa muonekano...ha ha ha
Ila izi pisi kali kuonekana hapo hadharani ivyo kiusalama kwetu inakuwaje hapoHii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana.
Kutambuliwa huku kwa JF na Jumuiya za Kimataifa kunakuja kutokana na UHURU MKUBWA WA KUTOA MAONI NA JUHUDI ZA MAKUSUDI ZA KULINDA FARAGHA ZA WATEJA WAKE.
Mungu ibariki JF
=========
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Anders Sjöberg leo Februari 1, 2022 ametembelea ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi wa JF.
Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua namna Jamii Forums inavyoendesha shughuli zake katika kuhakikisha inafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Demokrasia na Utawala Bora nchini Tanzania.
JF inasimamia mtandao wa JamiiForums.com unaotoa nafasi kwa Watanzania kutumia #UhuruWaKujieleza kwa njia ya mtandao na kujadili masuala anuai, ikisaidia wananchi (Citizen Journalists) kupaza sauti zao
Huyo dada mwenye tshirt nyekundu ndio mzee wa banHawa ndo mods kumbe wa JF
Kaka mimi nina bachalor ya IT, alafu mlinzi wa Suma jkt... Naomba kaziNyie
Suma JKT mna makasiriko Sana tusije kukupa kazi ukamtengua nyonga
boss @Maxence Mello kisa kakubania buku ya kwenda kunywa gongo maana Kwa vizinga hamjambo nyie
Halafu weka CV Yako hapa usije kua mlinzi wa mchongo kama Urio Kwa Mbowe ohooooo hatupendi matatizo sisi
Eboooo!
Pamoja na mambo mengine wameweza kujua tunavyofanya uchechemuzi wa hazi kidijitali....Pamoja na mambo mengine, ameweza kujua ....nafanya uchechemuzi wa Haki za Kidijitali