Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Haha...katika kipindi ambacho wasouth na dunia inaomboleza kifo cha mzalendo n amwanamapinduzi..Balozi wa South Africa kaamua tumia muda wake kuliambia taifa mbele ya Mengi kuwa lazima kutumia rasilimali vyema kwa maendeleo ya Africa.
Hili ni Dongo kwa maCCM na majinga mengine....Mengi anapata Endorsement ingine bila magamba kujua....MUhongo upo?
Niliwahi waambia Mengi ni Rais Kivuli.Sasa angalia kipindi ch akukumbauka wazalendo Mengi anaongea na watu.
Source: ITV
Hili ni Dongo kwa maCCM na majinga mengine....Mengi anapata Endorsement ingine bila magamba kujua....MUhongo upo?
Niliwahi waambia Mengi ni Rais Kivuli.Sasa angalia kipindi ch akukumbauka wazalendo Mengi anaongea na watu.
Source: ITV