Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Tafuta maana ya beberu/mabeberu then urudi fasta hapa.Leo sio mabeberu tena!!!
Tafuta maana ya beberu/mabeberu then urudi fasta hapa.Leo sio mabeberu tena!!!
Lakini hawauawi Watanzania kama ngedere, huko unakosifia wanauawa raia wangapi kwa siku/mwezi?Afrika hakuna Uhuru Haki maendeleo wala Democrasia.
Afrika kuna Udikteta.
Vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Siasa Chafu.
Njaa na umasikini Uliotopea.
Ukisha mwita mwenziyo beberu ujue umekubali kupandwa.Vipi huyu sio Beberu Jike au ndio ndugu zetu katika maendeleo?
Leo sio mabeberu tena!!!
Wakija na tamko la UN mnawaita mabeberu ila CCM nyie watu ni wapumbavu.
Leo ni mataifa rafiki, ila juzi BBC Swahili aliitwa Beberu. Yani hadi Zuhura Yunus aliitwa Beberu juzi tena na Pascal Mayalla
Tuko vizuriiii mpaka beberu limesifia🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndugu zangu,
Tanzania inazidi kupaaa
========
Tanzania imetajwa kama Nchi ya kielelezo cha amani na demokrasia katika Bara la Afrika kutokana na mchakato wa kampeni za uchaguzi mkuu unavyofanyika kwa amani,utulivu na usawa kwa wagombea wa vyama vyote huku wananchi wakijitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea.
Balozi wa Norway nchini Tanzania Balozi Elisabeth Jacobsen ameyasema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi.
Pamoja na masuala ya kisiasa Balozi huyo amesema katika mazungumzo yao wamegusia pia masuala ya ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi hususani katika suala la elimu,afya,nishati na uwekezaji pamoja na biashara baina ya nchi hizo mbili.
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amemuomba Balozi huyo wa Norway kuendelea kushirikiana na Tanzania na kumshukuru kwa Nchi hiyo kukubali kutoa kiasi cha dola za marekani milioni 7 kwa ajili ya mradi wa TASAF jambo litakalosaidia kupunguza umasikini kwa watanzania hususani katika kipindi hiki ambapo nchi nyingi zimeathiriwa na janga la Corona.
Mbali na Balozi huyo wa Norway pia Prof. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Sweden hapa nchini Balozi Anders Sjöberg ambapo amezungumzia masuala ya mabadiliko ya tabia nchi,haki za binadamu na uhuru wa vyombo vya habari na kuvipongeza vyombo vya habari hapa nchini kwa kuandika habari za wagombea wa vyama vyote bila ya ubaguzi.
Kuhusu suala la haki za binadamu Prof. Kabudi amesema taswira inayotolewa kuhusu suala hilo haiakisi hali halisi iliyopo nchini na kwamba Tanzania inaheshimu na kulinda misingi ya haki za binadamu.
Katika tukio jingine Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amepokea nakala za hati za utambulisho za Balozi Mteule wa Uswis hapa Nchini Mhe. Didier Chassot.
jikite kwenye hoja sasaMabeberu Oyeee
Ya kusifiwa na beberu?jikite kwenye hoja sasa
Mabeberu yatupongeza
Ulitaka aseme uyawazayo moyoni?Mmh hii balozi siielewi, yaani mapema yote hii unatuambia demokrasia ahahahaaa 🤣
Kama Zitto kabwe ambaye wakati mwengine huonekana ni msaliti tu na hata hicho cha chake kipo ili kuvuruga upinzani ila wakati mwengine akiongea yale ambayo watu hupenda kuyasikia basi haonekani tena kuwa msaliti.😅😅Leo ni mataifa rafiki, ila juzi BBC Swahili aliitwa Beberu. Yani hadi Zuhura Yunus aliitwa Beberu juzi tena na Pascal Mayalla
Bwana weeee! Yani tunayumbishwa kama machela.Leo sio mabeberu tena!!!
May be the word democracy has lost its meaning.Balozi wa Norway nchini Tanzania
Elisabeth Jacobsen amesema Tanzania ni kielelezo amani barani Afrika kwa kuwa Kampeni za uchaguzi zinafanyika kwa uhuru,
amani na utulivu. Amesema kutokana na hayo Tanzania ni kinara wa demokrasia katika mchakato wa uchaguzi
Chanzo: Habari Leo
Ndugu zangu,
Tanzania inazidi kupaaa
========
Tanzania imetajwa kama Nchi ya kielelezo cha amani na demokrasia katika Bara la Afrika kutokana na mchakato wa kampeni za uchaguzi mkuu unavyofanyika kwa amani,utulivu na usawa kwa wagombea wa vyama vyote huku wananchi wakijitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea
Balozi wa Norway nchini Tanzania Balozi Elisabeth Jacobsen ameyasema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi
Pamoja na masuala ya kisiasa Balozi huyo amesema katika mazungumzo yao wamegusia pia masuala ya ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi hususani katika suala la elimu,afya,nishati na uwekezaji pamoja na biashara baina ya nchi hizo mbili.
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amemuomba Balozi huyo wa Norway kuendelea kushirikiana na Tanzania na kumshukuru kwa Nchi hiyo kukubali kutoa kiasi cha dola za marekani milioni 7 kwa ajili ya mradi wa TASAF jambo litakalosaidia kupunguza umasikini kwa watanzania hususani katika kipindi hiki ambapo nchi nyingi zimeathiriwa na janga la Corona.
Mbali na Balozi huyo wa Norway pia Prof. Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Sweden hapa nchini Balozi Anders Sjöberg ambapo amezungumzia masuala ya mabadiliko ya tabia nchi,haki za binadamu na uhuru wa vyombo vya habari na kuvipongeza vyombo vya habari hapa nchini kwa kuandika habari za wagombea wa vyama vyote bila ya ubaguzi.
Kuhusu suala la haki za binadamu Prof. Kabudi amesema taswira inayotolewa kuhusu suala hilo haiakisi hali halisi iliyopo nchini na kwamba Tanzania inaheshimu na kulinda misingi ya haki za binadamu.
Katika tukio jingine Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi amepokea nakala za hati za utambulisho za Balozi Mteule wa Uswis hapa Nchini Mhe. Didier Chassot.
Mtaumia saana endeleeni kusema tanzania inatazamwa na dunia.Yani MaCCM nikama wana wagombea wawili wa uraisi kwenye chama chao
Kuna mmoja ana sema maendeleo hayana chama kuwa yeye ni raisi wa woote! na kuna mwingine anasema mkichagua upinzani sahauni, maendeleo hatuleti kama vile MaCCM pekee yao ndio yana lipa kodi.