Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,797
- 11,959
Balozi wa Norway nchini Tanzania, Elisabeth Jacobsen ametembelea Ofisi za Jamii Forums jijini Dar.
Balozi Elisabeth amepata wasaa wa kuzungumza na Uongozi wa Jamii Forums, Mwakilishi ya Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Watendaji wa JF juu ya masuala anuai ikiwamo kujifunza jinsi taasisi inavyoendesha shughuli zake.
Balozi Elisabeth amepata wasaa wa kuzungumza na Uongozi wa Jamii Forums, Mwakilishi ya Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Watendaji wa JF juu ya masuala anuai ikiwamo kujifunza jinsi taasisi inavyoendesha shughuli zake.