wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,129
Kasnta sana mkuu hapo nimeelewa kitu na waMarekami wanahitaji san ile serekali ya yule mmama, na masoja hawakubali.China ndio inawalipa hao Wanajeshi kuogopa ushawishi wa Marekani na hatimae Marekani kuweka watu wake na kambi ya Jeshi.