Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

Acha kutisha watu balozi ana majukumu yake mahususi acha kumpakazia fikra zako ni finyu sana unafikiri ujinga hatuwezi kubali wapinzani waharibu amani ya nchi yetu kamwe afu watakao patashida ni watanzania wanyonge ambao hawawezi hata kukimbia
Huu unyonge mnaouzungumza kila uchwao ni upi? Au maana ya unyonge ni kukaa kimya hata pale ambapo mtu anaonewa?

Mitaani wapo watu waliokosa furaha wakilalamika uchaguzi kuhujumiwa kwa kiwango cha kutisha pia wapo wanaoshangilia hivyo tusiwe wasemaji wa wanyonge maana hii kauli yakuwaita watu wanyonge ni kuwadharau.

Unless unipe tafsiri halisi ya mnyonge.
 
Serikali iwapuuze hawa wajinga na ikae kimya isijibu lolote. Ukimya wakati mwingine ni majibu mazuri. Mbinu ya balozi hapo ni kutaka kuanzisha vita ya maneno na serikali ya Tanzania.

Hivyohivyo kwa hawa makuadi na vibaraka wa mabeberu wa ndani ya nchi wasipewe nafasi ya kupayuka huu upotoshaji wao ndani ya Tanzania. Wakasemee huko huko kwa mabwana zao .
Pia tuwe wakweli tu sio kwamba amani tunayohubiri ipo kwa kiwango hicho bali ni kule kuvumiliana tu na ustaraabu wa Watz ndo kunafanya kuonekane kuna amani.

Kama amani ingekuwa ipo kwa kiwango hicho basi pasingekuwa na haja yakumwaga askari kila kona ili mradi kuzuia kinachoitwa vurugu.

Amani kama ipo kwa kiwango kikubwa basi hata hao wachache wanaotaka kuivuruga wangepuuzwa tu na wapenda amani.

Kutapakaa kwa askari barabarani ni kipimo cha kulazimisha amani wakati uhalisia pengine ni kinyume chake.
 
Huu ni ushahidi mwingine huyu ndugu hawezi kutoka madarakani. Huwezi kutoka ikiwa unawaumiza wenzio kwa kiwango hiki. Mf mzuri ni kina Kagame,M7 na Mugabe.
 
SECRET REVEALED: WHY AND HOW DON WRIGHT FROM AMERICA IS PUSHING HARD FOR VIOLENCE IN TANZANIA.



Don Wright is an Ambassador of US to Tanzania. The two countries established a diplomatic relations in 1961 where the partnership was based on mutual respect, shared values and aspirations for peaceful and prosperous future. It has been reported that Donald John Wright who is a physician by professional works closely with America's Secret service on various sabotage plans for Tanzania.

WHY TANZANIA?
In 2015 , Dr. John Magufuli (PhD) was elected as the 5th President of United Republic of Tanzania, the reforms minded leader wanted to challenge the status quo and indeed he initiated transformation journey. He has zero tolerance to corruption, poaching, resources exploitation (reasons for mining reforms), public embezzlement and self-centred leadership.

In his first week in office in November 2015, Mr Magufuli halted all unnecessary foreign trips for public servants. In one year the move saved USD 430 Million, this has helped rapid development of infrastructures, decentralization of quality social services, free secondary education, Student's loans to University students and more.

The President focus has been transforming an economy hobbled by bureaucracy and corruption. He started by switching off Symbion ( ), Aggreko and IPTL power generation plants which were the product of controversial contracts resulting in a big burden to the Government. Up today, this move has saved over 719 billion. Currently, Tanzania is building Nyerere Hydropower plant with capacity of 2115 MW, the biggest single project in East Africa.

Cancellation of Contract between the Government of Tanzania and Symbion has been blamed by US Government. Symbion is a New York-based independent power producer that develops and operates projects in several African countries and has operated in the Middle East and Asia as well.

Few weeks before the Election in Tanzania Democratic and Republican members of the U.S. House Subcommittee on Africa packed a resolution urging the government of Tanzania to respect human and economic rights. They have promised to fight against lack of respect for contracts and business operations that threaten future U.S. businesses investment and trade partnerships in Africa.

Records shows that the US Government will always find triggering factors to fight any country that doesn't favour their economic interests. Researchers suggest that Gold export powerhouse Tanzania is now a target by the US. Our source have confirmed of a failed plans to hijack the Election by US embassy in Tanzania.

48 hours before the Election, a secret joint letter between the embassy and opposition leaders were leaked and sparked a hot discussion about US interference in Tanzania 2020 Election. In the same day over 15 Twitter Accounts including anonymous accounts were verified despite having a record of violating Twitter rules before. All the accounts were criticising the Government of Tanzania and discrediting the electoral process.

Since then, those accounts have been reposting different information from US Dignitaries and officials. On Election day they were posting hate speech, fake election results, bogus claims and reports. After Election day they have been posting various contents that shows Tanzania is in chaos, old sex tapes claiming to be Tanzanian officials raping and sodomizing civilians. All these fake news are so disturbing and poses a question to whether this is US Government plan or merely plan by Mr. Donald Wright who is an ambassador in Tanzania.

Following different comments about Wednesday election in Tanzania by US Officials which have been emphasising on people to protest even before the final results were announced , it's clear that there might be a plan to destabilize Tanzania. I argue Tanzanians to stand firm against such unacceptable plans by US Government.

MAY GOD BLESS AFRICA.
Hii yaani hata bila miwani inaonekana kabisa. Ni muhimu sana isambazwe kwenye vyombo vyetu vya habari ili wananchi wote waujue ukweli huu
 
Balozi huyo ameandika:

Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.

View attachment 1617807
I Wish JPM siku moja avae viatu vya Kambarage na kumtangaza huyu Balozi "Persona non-grata" haiwezekani akawa anaingilia internal affairs za nchi yetu Jambo ambalo lipo against na Vienna Convention on Diplomatic Relations of 1961.
 
Huu upumbavu wa mabalozi wa kibeberu kuachwa tu wakijifaragua na matamko sijui kwa nini nchi za kiafrika huwa hawawachani live!
 
I Wish JPM siku moja avae viatu vya Kambarage na kumtangaza huyu Balozi "Persona non-grata" haiwezekani akawa anaingilia internal affairs za nchi yetu Jambo ambalo lipo against na Vienna Convention on Diplomatic Relations of 1961.
Mtangulizi wake alitolewa hivi hivi huyu nae kanza
 
huu ni ushahidi mwingine huyu ndugu hawezi kutoka madarakani. Huwezi kutoka ikiwa unawaumiza wenzio kwa kiwango hiki. Mf mzuri ni kina Kagame,M7 na Mugabe.
Huyu na genge lake ni mpaka na yeye aumizwe ndio tutaheshimiana
 
Huko USA wanajeshi wazungu kazi ni kupiga risasi ndugu zetu weusi. Hapo wao wanaona sawa tu?
 
Balozi huyo ameandika:

Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.

View attachment 1617807
Yeye kama nani yani, kwani hapa ni Marekani!!! Wao wanavofanya targeted arrests kwa blacks!!?? Kila mtu apambane na hali yake, chamsingi aongeze bidii kuhakikisha anawapa ujanja wamarekani wenzake wasolve korona kwa kuiga mfano wetu, mtu yupo nchini free bila barakoa alaf anabwabwaja tu. Watu hawana shukran kabisa
 
Huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga aanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tanzania wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
Marekani ni Wanafki wa professional level kwelikweli
 
Wapinzani ni wasaliti wakubwa kwa nchi yetu, kila siku kujitongozesha kwa mataifa ya ulaya. Yaani bora CCM ibake peke yake tufute hivi vyama vya upinzani vya sasa na kisha hiyo CCM tuigawe mara mbili. Na kisiwe chama cha mtu mmoja viwe vinafanyiwa vetting kwa viongozi wake na vyombo vya usalama. Sio hawa wapinzani hata hatuwajui vizuri wanaibuka na kutaka kupiga nchi kiberiti.
Kula like 10,000. Alafu utaona mipinzani bado haielewi tu
 
Back
Top Bottom