Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,861
- 19,756
Usingetukana hapo mwishoni mkuu, maana ulikuwa tayari na bonge la pointi. Hawa jamaa wanataka kiongozi "ngunguri" kama Mr Kiduku. Hapo wanakuja wenyewe kukusalimia. Re: Kisiwa cha Kyuba, Iran, Venezuela nkHuyu ni wa kufukuza tu kwani haoni watu hawataki fujo wanataka wafanye kazi zao kwa uhuru? Yan mtu avunje sheria afanye anavyotaka kisa tu mko nyuma yake kama nchi kubwa?? Mbona kiduku kawashinda kule korea kaskazini..nyie mkitoa matamko yeye ana test mitambo mbona mmemkimbia mnahamia ohh waachiwe....mbwaaa nyieee kummaaamae zenuuu