Balozi wa Marekani kumtembelea Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
98,103
172,192
Kuna tetesi Kuwa Balozi wa Marekani nchini atamtembelea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa

Ikumbukwe Kuwa Sugu na Balozi wa Marekani ni Marafiki wakubwa na juzikati Sugu Moto Chini alifanya show ya Muziki ubalozini akishirikiana na bendi ya Jeshi la Marekani

Yeye Sugu huwa anajimwambafy kwamba yule Balozi ni baba yake

Ngoja tuone

Mlale Unono ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ”ฅ ๐ŸŒน

PIA SOMA
- Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

UPDATE
- Balozi wa Marekani: Nimeongea na rafiki yangu Sugu kipigo alichopata hakikubaliki, ninalaani kwa nguvu zote
 
Unazungumzia wamarekani hawa ambao waliomhenyesha Trump kwa kesi za uongo na kweli, kisa tu alikuwa anaonekana kuwa tishio kwa raisi Biden na chama chake cha Democrat, au kuna Marekani nyingine?

Kunya anye kuku tu, akinya bata kaharisha..
 
Kuna tetesi Kuwa Balozi wa Marekani nchini atamtembelea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa

Ikumbukwe Kuwa Sugu na Balozi wa Marekani ni Marafiki wakubwa na juzikati Sugu Moto Chini alifanya show ya Muziki ubalozini akishirikiana na bendi ya Jeshi la Marekani

Yeye Sugu huwa anajimwambafy kwamba yule Balozi ni baba yake

Ngoja tuone

Mlale Unono ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ”ฅ ๐ŸŒน
wagonjwa huwa wanajuliwa hali hasa na walewaliokaribu nao,ama wanaoonewa pia wapo wanaochukizwa na kuonewa kwao.
 
Kuna tetesi Kuwa Balozi wa Marekani nchini atamtembelea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa

Ikumbukwe Kuwa Sugu na Balozi wa Marekani ni Marafiki wakubwa na juzikati Sugu Moto Chini alifanya show ya Muziki ubalozini akishirikiana na bendi ya Jeshi la Marekani

Yeye Sugu huwa anajimwambafy kwamba yule Balozi ni baba yake

Ngoja tuone

Mlale Unono ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ”ฅ ๐ŸŒน
Hiyo ya Sugu kusema kuwa balozi ni baba yake ni mbwembwe zako tu
 
Kuna tetesi Kuwa Balozi wa Marekani nchini atamtembelea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa

Ikumbukwe Kuwa Sugu na Balozi wa Marekani ni Marafiki wakubwa na juzikati Sugu Moto Chini alifanya show ya Muziki ubalozini akishirikiana na bendi ya Jeshi la Marekani

Yeye Sugu huwa anajimwambafy kwamba yule Balozi ni baba yake

Ngoja tuone

Mlale Unono ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ”ฅ ๐ŸŒน

PIA SOMA
- Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

UPDATE
- Balozi wa Marekani: Nimeongea na rafiki yangu Sugu kipigo alichopata hakikubaliki, ninalaani kwa nguvu zote
Ujinga ujinga ndizo post zako. Is this news?
 
Kuna tetesi Kuwa Balozi wa Marekani nchini atamtembelea Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi aka Sugu hospitalini alikolazwa

Ikumbukwe Kuwa Sugu na Balozi wa Marekani ni Marafiki wakubwa na juzikati Sugu Moto Chini alifanya show ya Muziki ubalozini akishirikiana na bendi ya Jeshi la Marekani

Yeye Sugu huwa anajimwambafy kwamba yule Balozi ni baba yake

Ngoja tuone

Mlale Unono ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ”ฅ ๐ŸŒน

PIA SOMA
- Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

UPDATE
- Balozi wa Marekani: Nimeongea na rafiki yangu Sugu kipigo alichopata hakikubaliki, ninalaani kwa nguvu zote
Nimependa sana kipigo ambacho Sugu amekipata kutoka kwa Polisi wa Mbeya. Huu ni ujumbe kwamba Sugu anatuharibia Mbeya kwa kutuletea siasa za mivutano na Serikali.

Imetosha sasa tunataka Maendeleo na siyo fujo. Mbona CHADEMA hawapeleki maandamano kwenye wilaya yao ya Moshi??
 
Back
Top Bottom