Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,343
- 6,403
80 shoots 1 target...unapongeza nn?
Tena yawezekana hata hao police walioawa wamepigwa na wenzao.
Mkuu, hata mimi nimewaza kama wewe. Jamaa yupo sehemu ya wazi, lakini risasi zinampita mita tano!!!!!!!?