KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Balozi wa Libya nchini Tanzania Prof.Ahmed A El Ash'hal ametuma ujumbe mwingine tata kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe kuwa hayuko tayari kupeperusha bendera ya utawala uliosambaratika wa Gadhafi baada yakuamua kutopeperusha bendera yeyote kwenye ubalozi wa nchi yake.
Picha zilizopigwa jana na gazeti la Majira zinaonyesha milingoti miwili ikiwa haina bendera yeyote.
Je kwa kudhalau na kupuuza maelekezo ya Membe kunaipa sababu tosha serikali kumtimua balozi huyo na Vienna Convetion inasemaje kwa kitendo kama hiki.
Picha zilizopigwa jana na gazeti la Majira zinaonyesha milingoti miwili ikiwa haina bendera yeyote.
Je kwa kudhalau na kupuuza maelekezo ya Membe kunaipa sababu tosha serikali kumtimua balozi huyo na Vienna Convetion inasemaje kwa kitendo kama hiki.