BALOZI WA KOREA KUSINI AENDESHA MHADHARA CHUO CHA BANDARI

TPA

Member
Sep 28, 2016
49
71
upload_2016-12-2_8-52-34.jpeg


Balozi wa Korea Kusini hapa nchini, Mhe. Song Geum-young (kushoto) akijadili jambo na Mkuu wa Chuo cha Bandari, Dk. Joseph Kakeneno wakati wa mhadhara wake na wanachuo cha Bandari hivi karibuni.

upload_2016-12-2_8-53-20.jpeg


Mkuu wa Chuo cha Bandari, Dk. Joseph Kakeneno akimkaribisha Balozi wa Korea Kusini hapa nchini, Mhe. Song Geum-young kutoa mhadhara wake kwa Wanachuo.

upload_2016-12-2_8-53-30.jpeg


Balozi wa Korea Kusini hapa nchini, Mhe. Song Geum-young akitoa mhadhara kwa wanachuo. Kulia ni Mkuu wa Chuo cha Bandari, Dk. Joseph Kakeneno.

upload_2016-12-2_8-53-48.jpeg


Baadhi ya Wanachuo cha Bandari wakifuatilia mhadhara uliokuwa ukitolewa na Balozi wa Korea Kusini.

upload_2016-12-2_8-54-5.jpeg


Baadhi ya Menejimenti ya Chuo cha Bandari ikifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Balozi wa Korea Kusini.

upload_2016-12-2_8-54-15.jpeg

Baadhi ya Wanachuo cha Bandari wakifuatilia mhadhara uliokuwa ukitolewa na Balozi wa Korea Kusini.

upload_2016-12-2_8-54-28.jpeg


Mkuu wa Chuo cha Bandari, Dk. Joseph Kakeneno akimkabidhi zawadi Balozi wa Korea Kusini hapa nchini, Mhe. Song Geum-young mara baada ya kutoa mhadhara kwa wanachuo.
 

Attachments

  • upload_2016-12-2_8-53-0.jpeg
    upload_2016-12-2_8-53-0.jpeg
    101.9 KB · Views: 50
  • upload_2016-12-2_8-54-38.jpeg
    upload_2016-12-2_8-54-38.jpeg
    126.5 KB · Views: 43
  • upload_2016-12-2_8-54-50.jpeg
    upload_2016-12-2_8-54-50.jpeg
    101.9 KB · Views: 43
Back
Top Bottom