STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Reports: The Armed Forces of #Ukraine surrendered Starobelsk and Severodonetsk without a fight
Source mkuuReports: The Armed Forces of #Ukraine surrendered Starobelsk and Severodonetsk without a fight
Walizan hi ni somaliaWakenya wenyewe masikini tupu na njaa zimewajaa mpaka matakoni sasa mnakuja ingia kwenye maswala ya urusi ambayo ni tajiri, pambaneni kwanza na ujinga,umasikini,njaa na ukabila mkimaliza ndo muweze bonga. Acheni kutafuta kiki it's fact.View attachment 2130781
huku africa wanajidanganya maana makombora yote na silahaa nyingi tunanunua kwao.tukileta ujinga tutatumia mishale na mapanga
Jombaa, unaanzisha uzi kiushabik kuhusu hotuba ambayo hujaisikiza? Mbona kwenye hotuba yake hiyo balozi Kimani aliwaponda kweli kweli hao mabeberu kwa ukoloni wao barani Afrika? Tatizo ni nini, lugha gongana au ni uelewa finyu tu kama kawa?Anatetea maslah ya mabeberu
Weka hiyo hotuba hapa tuione mkuuJombaa, unaanzisha uzi kiushabik kuhusu hotuba ambayo hujaisikiza? Mbona kwenye hotuba yake hiyo balozi Kimani amewaponda kweli kweli hao mabeberu kwa ukoloni wao barani Afrika? Tatizo ni nini, lugha gongana au ni uelewa finyu kama kawa?
Weka hiyo hotuba hapa tuione mkuu