Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Unawaponda lkn kisiri siri unakwenda kuwapigia magoti wakusaidie ela za kujengea mashule
In God we Trust
Sisi waafrika tunapenda sifa za kijinga,ndiyo maana ukisikia Rais sijui wa USA,Russia au kwingineko Kasifia nchi au kiongozi fulani tunashangilia Kama mazuzu.......Western media hazitangazi taarifa nzuri za Africa,zile mbayambaya tu ndiyo utazisikia.
Mfano Hispania kuna ukabila ila watatumia neno zurizuri ila ingekuwa Africa headline ingekuwa tofauti.
In God we Trust