Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mousa Farhang, kwa vyombo vya habari nchini amevitaka kuacha kutegemea habari za vyombo vya magharibi kwa kuwa havina maslahi kwa nchi za Afrika na zile zinazoendelea, vimekuwa vikiandika mambo mabaya kwa nchi hizo kwa maslahi yao binafsi. "Kwa mfano unaweza kuwa humpendi Rais
Magufuli na si nchi kwa ujumla lakini inakuwaje uadui wako na Magufuli ukawa ni uadui wako na Tanzania nzima? Hili si sahihi na vyombo vya habari vinapaswa kuwa makini”.
Magufuli na si nchi kwa ujumla lakini inakuwaje uadui wako na Magufuli ukawa ni uadui wako na Tanzania nzima? Hili si sahihi na vyombo vya habari vinapaswa kuwa makini”.