chakubimbi
Member
- Nov 25, 2010
- 21
- 1
Balozi Jaka Mwambi wa nchini Urusi alinusurika kuangukiwa na paa la nyumba ya ubalozi. Inasikitisha sana ukiona jinsi ubalozi wetu ulivyo kwani umechoka sana na ajabu ripoti ya mkaguzi mkuu (CAG) ilibaini kua kuna ubadhirifu mkubwa kwenye ubalozi huo zaidi ya Tsh 440 milion hazijulikani zilipo. Chakujiuliza ni ubalozi unakosa hata fungu la kufanya matengenezo ?