B
Ila hapa amejichanganya
1.Kukutana ili kupunguza joto.
2.Kukutana kirafiki.
Rais ni taasisi,
Vyama vya siasa ni taasisi.
My Balozi Joto uliloliona ndilo limekufanya utoke,hivyo kushauri likapunguzwe humsaidii Rais.
Kukutana kirafiki ni kuchochea joto Kali zaidi ya hili.
Kukutana Official kutakuwa na suluhu.
NB! Awamu ya 4 ilikuwa friendly
Awamu ya 5 ilikuwa chuma
Awamu ya 6 ni btn 4&5
Tunatokaje
Balozi ana hoja na nia njema.kama kupunguza joto ni bora wasikutane, nini maana ya kupunguza joto inaweza kuwa sawa na punyet kwa kizungu ,hakitazaliwa kitu,sijui mmeiona hio janja ,sijui katumwa ili ionekane amesikilizwa kumbe ni mpango wa binadamu,mshindwe na mlegee,tunahitaji katiba mpya tume mpya ili Zanzibar nayo iondokane na makucha ya machogo.
Ila hapa amejichanganya
1.Kukutana ili kupunguza joto.
2.Kukutana kirafiki.
Rais ni taasisi,
Vyama vya siasa ni taasisi.
My Balozi Joto uliloliona ndilo limekufanya utoke,hivyo kushauri likapunguzwe humsaidii Rais.
Kukutana kirafiki ni kuchochea joto Kali zaidi ya hili.
Kukutana Official kutakuwa na suluhu.
NB! Awamu ya 4 ilikuwa friendly
Awamu ya 5 ilikuwa chuma
Awamu ya 6 ni btn 4&5
Tunatokaje