Balozi Seif: Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar

Baraghash

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
2,713
1,786
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!
 
Sasa vyama vingi vya nini kma hawako tayari kuona maalim anashinda urais?? Si warudishe chama kimoja tujue moja...... haya maigizo ya demokrasia yatasaidia nni???? Dah afu cku Vikianza vkundi vya kigaidi kma kule mombasa utaskia watu wanatwambia tuombee amani miskitini!!! Shame on u
 
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!

Tunasubiri mrejesho wa ahadi za CUF? Maalim Seif kuhusu kupewa haki yao hivi karibuni.

Katika makundi haya mawili kuna mmoja anajificha kwenye kivuli cha shina la njugu. Muda siku zote ni mwalimu nzuri.

Nijuavyo Maalim anawajuwa sana CCM, kuliko hao CCM wanavyomjuwa Maalim. Hivi nukuu zile za ahadi ni bure hakuna kitu kinaendelea? Acha tusubiri.
 
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!
Zanzibar kama mkoa
 
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!
Na unajue Kuna siku atakufa huyo..na atadaiwa hyo hali ya maalim seif.
 
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!
Wee mzee ungejipumzikia tu
 
Balozi Seif, wakati akilihutubia Barazala Wawakilishi mjini Zanibar leo asubuhi wakati wa ufungaji
/uahirishaji wa Baraza alisema kuwa " Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar katika kipindi hiki cha utawala wa Dr.Ali Moh'd Shein kinachoishia 2020 na hata baada ya 2020"

CCM itaendelea kuiongoza Zanzibar. Alisema chama cha CUF tumekizowea tokea 1995 kuwadanganya wafuasi wao kuwa muda si mrefu Maalim Seif atapewa Serikali. -Wache waseme na watachoka Maalim Seif hana ubavu wa kuwa Rais wa Zanzibar!

Kuna uwezekano Maalim Seif ana matatizo ya akili, hivi kweli inawezekana vipi Rais aliyeshinda uchaguzi aseme anamwachia mtu mwingine kuwa Rais kwa katiba ipi?, Maalim hatambuliwa hata na katiba ya ZNZ , zaidi ya kuwa raia tu.
Shein ni mzima wa afya tele, huyo Maalim sijui na hao wafuasi wake wana ugonjwa, maana hata mtoto mdogo hawezi kuambia na kukubali eti Dr. Shein kaamua kumwachia urais wa ZNZ.
Ila ni raha sana kuwa na ndoto za hivyo kama mla madawa ya kulevya anaota yuko ndani ya White house anakula chakula na Trump, akiamka yuko kalala kwenye dibwi la maji
 
Back
Top Bottom