Inasikitisha kuona mtu kama Peter Kallaghe anateuliwa kuwakilisha Tanzania katika nchi muhimu kama Canada na Wiingereza, huyu ni Balozi mbovu.
Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..
Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma'jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri
Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa
Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi
:embarassed2:
Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..
Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma'jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri
Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa
Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi
:embarassed2: