Balozi Peter Kallaghe na maofisa wake,UK ni vilaza

Bull

JF-Expert Member
Nov 4, 2008
1,094
253
Inasikitisha kuona mtu kama Peter Kallaghe anateuliwa kuwakilisha Tanzania katika nchi muhimu kama Canada na Wiingereza, huyu ni Balozi mbovu.

Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..

Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma'jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri

Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa

Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi

:embarassed2:
 
labda serikali haikumpa pesa ya kuandaa sherehe? au pesa aliweka kapuni


Mkuu Balozi wa Maskati na nchi nyingine nao walisherehekea na kuwwalika wafanya biashara pamoja na wenyeji wa nchi walizo kuwepo, sidhani kama Kallaghe na maofisa wake hawakupewa pesa za kuadhimisha shererehe hizo na hasa ukizingatia wako sehemu muhimu sna ya dunia (UK)

Hawa jamaa wanaendeleza tamaduni zao za kizembe na ufisadi watuambie pesa wamepeleka wapi? tuwasubiri wamo humu jf
 
Nashukuru Mungu walau Balozi Kallaghe anaonekana ana moyo mzuri kwa wadanganyika kama wewe. Gharama za kuusherehekia huu upuuzi wa miaka 50 ya giza umeigharimu Tanzania sio (Tanganyika) Tsh BILIONI 64 halafu unataka na Mheshimiwa aongeze mbaya zaidi anatumia BRITISH POUND na sio madafu kama ulivyozoea.
Kijana jiheshimu:embarassed2::hatari:
 
Hivi kutangaza nchi ni lazima ufanye sherehe? Mleta mada unaelewa maana ya 'strategic investment promotion? Una hakika gani kama kweli Balozi Kallaghe hatangazi Tanzania? Week chache zilizopita mwana wa malkia - Prince Charle & mkewe- duchess of Cornwall walikuwa nchini, na Balozi Kallaghe alikuwa nao kwenye msafara, unaweza kusema aliandamana na wafanyabiashara wangapi? Pia siku chache zilizopita kulifanyika mkutano London specifically kwa ajili ya kuvutia uwekezaji sijui kama unafahamu hili.

Kuhusu kuunganisha watanzania, hii kazi haiwezi kufanywa na watanzania wenyewe? Ni lazima Balozi akae chini afikirie namna ya kuwaunganisha? Na kwa nini useme Balozi hajafanya sherehe? Naona hili la kuunganisha watanzania wanatakiwa watanzania wenywewe wajipange kupitia kwenye jumuiya zao, na hakika ziko nyingi.
 
Inasikitisha kuona mtu kama Peter Kallaghe anateuliwa kuwakilisha Tanzania katika nchi muhimu kama Canada na Wiingereza, huyu ni Balozi mbovu.

Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..

Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma’jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri

Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa

Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi

:embarassed2:
una jambo unalolificha au umeshindwa kuandika kile ulichotaka kusema. unaweza kutulia kidogo, panga mawazo yako vizuri, yaandike, yasome mwenyewe ukiona yanaleta maana yamwage hapa.
 
Inasikitisha kuona mtu kama Peter Kallaghe anateuliwa kuwakilisha Tanzania katika nchi muhimu kama Canada na Wiingereza, huyu ni Balozi mbovu.

Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..

Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma'jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri

Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa

Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi

:embarassed2:

bomu lingine hilo,litalipuka siku si nyingi
 
Inasikitisha kuona mtu kama Peter Kallaghe anateuliwa kuwakilisha Tanzania katika nchi muhimu kama Canada na Wiingereza, huyu ni Balozi mbovu.

Tokea alipopelekwa UK hajawai kuaandaa sheree yoyote ya uhuru na kinachotia kichefuchefu zaidi ni kushindwa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tnganyika, hii ilikuwa nafasi muhimu sana kuitangaza TZ kwa wafanya biashara, wanasiasa/diplomasia nk..

Balozi Kallaghe alicho kuwa anakifanya ni kuvamia sehemu kama ujio wa Twanga Pepeta n,k ulio andaliwa na wajasir mali wa ki-TZ yeye kazi yake kubwa ni kudandia picha na kuzi-post kwenye blog ya michuzi, Balozi huyu mlevi ameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania, ambao awali waliunganishwa vyema na balozi alie pita Mama Ma'jar, anachokifanya balozi huyu ni kuwakimbia wa TZ pindi wanapomfuata kumpa ushauri

Kilumanga, Cariline Ambokile na Msanjila n,k ni maafisawazembe wasio na uwezo waliteuliwa toka Wizara ya mambo ya nje kwenda ubalozini U,K kwa kutoa rushwa, Mishahara ya hawa maofisa unakatwa asilimia 20, 20% za mshahara wao unakwenda kwa wakubwa wawili pale wizarani. Hii inasababishwa kuachwa maofisa wachapa kazi na kupelekwa vilaza kama hawa

Bernad Membe tafadhali rudiasha huu uchafu nyumbani kabla TZ haijaaibika zaidi

:embarassed2:

Ebu nyoosha kiswahili kidogo...yaani kushindwa kuandaa sherehe za uhuru ndio unaeleza maneno hayo ambayo hayaeleweki au una lingine unashindwa jinsi ya kuliwakilisha? jipange sawasawa toa maelezo yalionyooka..
 
Ooops kama hamjasema crap tafadhalini tuelezeni protocaly za maadhimisho ya sikukuu kama hizi kwenye balozi zetu then muhitimishe kwa mawazo mnayoyaweka kwa sababu huwezi tu ku-justfy kwa kuponda ki-hivyo .. ... ... .... ... .
 
Jamaa anapenda sana vya dezo eti Balozi Kallaghe hawafanyii sherehe!!!



Mmajukumu ya balozi ni ku promote policy,siasa ,Economy na Cultural za nchi yake, Balozi Kallaghe alitakiwa a-grub hii opportunity ktk kipindi hiki cha miaka 50 ya uhuru kuiuza nchi, kama balozi zetu nchini kwingine zilivyo fanya

Balozi huyu hajawai kuaandaa sherehe ya uhuru tokewa alipo teuliwa kuwa balozi uk, balozi za nchi zote zinatumia nafasi hii ya uhuru ku-promote nchi zao

Huyu balozi ulevi ndio unaomsumbua, na maofisa wake wameteuliwa kupelekwa uk kwa mtindo wa kujuana, in return wanatakiwa walipe 20% kwa wakubwa wao pale wizara ya mambo ya nje, Je kwa utamaduni huu tutaendelea ?
 
Hao maofisa wa ubalozi walipelekewa mwaliko kwenye sherehe fulani ambayo iliandaliwa na wa-tz kupitia Borough Council moja ktk Berkshire siyo Reading. Kwanza ubalozi ukasema wako na shughuli nyingi hawawezi kuhudhuria, basi sherehe ilipofunguliwa wageni tukataarifiwa kuwa Tz high comm hawawezi kuhudhuria as wako na shughuli nyingi. Then from NO WHERE Hawa kina Msanjila, somebody Kiondo na ofisa mwingine wakaja. Basi Mshehereshaji akatambulisha pamoja na majukumu mengi waliyonayo Tz high comm wamejitahidi kuhudhuria. Basi baada ya ratiba kuendelea ukafika wakati wakutoa machache hasa ukizingatia ilikuwa ni Tz day!! Wow Msanjila hana hata hotuba akaanza kuapologise mtizamo
wake uwezo wake hata wakuiongelea Tz kiujumla
awaambie angalao historia ya tz au nini kipo tz hawezi sasa ukiongeza na English yake YAANI HADI UNAJIULIZA HAWA WANAOWATEUA WANAANGALIA VIGEZO GANI? yaani hata sisi wa tz tulipojaribu kuongea nao Wanazungumzia BIASHARA YA UDI toka tz to the UK??? aibu airfreshner zote hizi. AIBU.
 
tatizo nadhani ni lile genge analozunguka nalo anapokuwa off-duty. Ukitoa Abu Faraji wengineo ni useless tupu wengine hata pa kulala ni utata at 40 na wana-british, hawa kweli watamshauri nini particulary mshamba kama leo. Yes ni mimi.
 
Give him a break please dezo kitu gani na wapi kakosea hebu muwe mnaonge avitu mlivyo kuwa na uhakika navyo
 
Back
Top Bottom