ASKOFU MSAIDIZI
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 209
- 23
Kufuatia mgongano wa mawaziri kuhusu sakata la malipo ya Dowans, Balozi Paul Ndobho ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Musoma Vijijini mkoani Mara amemtaka Rais Kikwete kuvunja baraza la Mawaziri!!
Pia alimupongeza Samweili Sitta kwa kuwa mzalendo na shujaa
Augustino Mrema yeye amemtaka Rais Kikwete kutolea ufafanuzi juu ya mgongano wa mawaziri kutokana na sakata la malipo ya Dowans.
Mrema amewataka mawaziri wote wanao pinga malipo hao wajiuzuri na kupinga uamuzi huo wakiwa nje ya serikali.
Chanzo: Nipashe
Pia alimupongeza Samweili Sitta kwa kuwa mzalendo na shujaa
Augustino Mrema yeye amemtaka Rais Kikwete kutolea ufafanuzi juu ya mgongano wa mawaziri kutokana na sakata la malipo ya Dowans.
Mrema amewataka mawaziri wote wanao pinga malipo hao wajiuzuri na kupinga uamuzi huo wakiwa nje ya serikali.
Chanzo: Nipashe