Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,502
Hizi statement official zinatumwa kwa email?
Sijui...ila vyovyote vile, ina maana hakuna spell-check na proofreading?
Hizi statement official zinatumwa kwa email?
Hongera sana ndugu Sefue.
Wakuu kuuliza si ujinga;
Mara baada ya kupitia hiyo taarifa toka ikulu hapo chini mwenzenu nimetatizwa kidogo. Waku hebu nijibuni hili swali langu dogo tu.
Hivi huyu Mkurugenzi wetu wa kurugenzi za mawasiliano kule ikulu yetu Magogoni, dr Salva Rweyemamu huwa ni wa kisomo cha darasa la ngapi?
Hicho ki-taito kabla ya jina lake ni zile za mabwana afya na mifugo zile za siku zote tulizozizoea kule mitaani kwetu au ni ile yenyewe yenyewe ya kiukweli?
Timu ni ilele amebadilishwa namba na kocha mwengine. badala ya kuwa mshambuliaji amekuwa beki wa kati. hakuna jipya
Wakuu kwani hii nafasi haistahili kwa mbunge?
Huyu nae ni Mtanzania? Naona Jk anazidi kuongeza ajila kwa Watanzania hureeeeeeeeeeeeeeeeee j.k
Mambo ni Inner Cycle tu... Mliopo Nje Mtaishia kusema tu.... na Kuingia hamuingii Maskini atazidi kuwa Masikini na Tajili atazidi kuwa Tajili..
Na January Tunaongeza Bei Ya Umeme Sababu tulishawaeleza kuwa Maisha ya Dodoma Yamepanda Sana...
Timu ni ilele amebadilishwa namba na kocha mwengine. badala ya kuwa mshambuliaji amekuwa beki wa kati. hakuna jipya
Wakuu kwani hii nafasi haistahili kwa mbunge?