Balozi Ombeni Sefue amrithi Luhanjo

Hongera Ombeni....hongera JK kwa uteuzi makini.............
.

Hongera kwa Rais wa NEC kwa kumuhamisha Mh. Sefue na kumpa na Nafasi nyingine ili aendelee kula Posho ambazo ni Jasho la walalahoi. Na kwa waliomaliza Vyouni kama huna ajira unaweza kujiunga na CCM na ukatafutiwa sehemu ya kupachikwa.
 
Luhanjo ameaidiwa kupewa Ubalozi katika nchi za Africa, stay tune
Luhanjo atakuwa balozi piga ua....na hawezi kwenda kwenye balozi sensitivu....kutokana na kashfa zake.....

Ubalozi wa un unamfaa jk mwenyewe
 
Kweli MM ni mtubwa intelejesia ni kweli sasa balozi ombeni kawa KMK TBC 1 wametangaza taarifa ya habari ya saa 2 usiku,hapa JF kweli chiboko,mambo ya jikoni yanajulikana mapemaa

Enzi hizo bwana....! Yaani siku hizi ni kama vile chakula kinapikiwa sebuleni kisha ndo kinakletwa jikoni (JF). Kama enzi zile barua ya Jairo Shelukindo angeitoa hapa, Majina ya Wazee waliopewa nishani yangesomwa hapa kwanza kabla ya hafla ya Ikulu, n.k

Ila kwa jinsi nyingine inaashiria kuwa "Wachawi ndo wamepewa mwana walee" i.e waliokuwa informers ndo wamekabidhiwa vitengo hivyo hawawezi kukata tawi la mti waliokalia!
 
Heheheeee.....

Hii nayo vipi?


Urgent Press Notice


Sasa sielewi wanatumia browser gani au MS Office app gani maana browsers kama Firefox na Chrome siku hizi ukiandika neno kimakosa linapigiwa mstari mwekundu. Sasa sijui hawakuliona hilo la "satement"?


He was taken by emotions. It seems hii habari hata yeye alieandika imem suprise.
 
Heheheeee.....

Hii nayo vipi?

Urgent Press Notice


Sasa sielewi wanatumia browser gani au MS Office app gani maana browsers kama Firefox na Chrome siku hizi ukiandika neno kimakosa linapigiwa mstari mwekundu. Sasa sijui hawakuliona hilo la "satement"?
Hizi statement official zinatumwa kwa email?
 



Ambassador Sefue completed his undergraduate studies in Public Administration in 1977 at what is today Mzumbe University in Morogoro Tanzania. He earned an M.A. in Public Policy and Administration from the Institute of Social Studies (ISS) in The Hague, The Netherlands, (1981). He holds a Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy from the Tanzania-Mozambique Center for Foreign Relations in Dar es Salaam, Tanzania (1986).

Mhh. tuwe tunaumia lugha yetu


 
Mbona tumepata hii habari hata kabla Salva kwenda hewani MM katujuza mapema sana leo kuna uzi wake kautoa humu jamvini bana,hapo ndio JF ni Alfa & Omega
 
Congrats JK kwa kumteua Sefue, congrats Sefue kwa kupata Ulaji

Kuna jamaa mmoja alisema mabalozi ahwana kazi ila kuhudhuria dhifa, kupokea wageni (hadi Nape) na ubwabwa wa balozi... please prove them wrong kwa kuperform to the best
 
Mkuu Ritz1 heshima mbele kwanza,

Kiukweli pendekezo langu kwa nafasi hii ni kulitangaza nafasi ya Mzee Luhanjo magazetini na Watanzania wooooote KUPATA FURSA SAWA KWENYE USHINDANI kutuma maombi yao ya kazi hiyo na kufanyiwa usaili na taasisi huru tena mbele ya kamera zetu za wanahabari mpaka 'Mtanzania Bora' kupatikana kuchukua nafasi hiyo.

Hakika nakereka sana kuona wengine wakitengewa tu vyeo ambavo ndiko tunakotumia kodi zetu zaidi na badala yake eti zile kazi ndogo ndogo zenye mishahara sawa na posho ya mbunge kwa siku eti ndio tunazitangaza magazetini watu kushindania.

Yeyote anayepata kazi kifisadi naye ni fisadi tu kama Public Service Hiring Due Process haijafuatwa. Tumechoka na hii biashara ya kuteuana kwa kila kazi muhimu. Watu washindanishwe kwa guu sawa na heshima ya ajira na tija kwa mlipakodi (si tija kwa mteuzi) itakapopatikana. Huu utaratiinayoendana na nafasi mbalimba nchini wasifurukute.

Isitoshe, utaratibu huu unaendeleza hali ya SIFA SAHIHI na uzoefu sahihi wa kufahamu matatizo ya watumishi wa serikali on the ground kuendelea kupishana na zile sifa za 'Bora Mtanzania' anayeteuliwa kuja kuchukua nafasi hiyo. Ni jambo la kusikitisha kwamba kuna baadhi ya nafasi ambazo siku zote hupata watu amba UTUMISHI WAO ULISHAFIKIA KILELENI siku nyingi hivyo kutotarajiwa kuweza kuleta lolote jipya katika kuhuisha nidhamu ya matumizi holela ya serikali na utumishi uliotukuka.

Wakati Sefue anaingia ofisini ajue anakutana na challenges mbili kuu hapo juu mezani kwake. Vilevile Balozi Fue anazikuta mezani toka kwa walipakodi tuliokwishapotea imani na watumishi wetu wavujaji hovyo wa kodi kwenye mikongamano miposho kibao, safari zisizo na tija huku bajeti ya serikali kwa ajili ya maendeleo yetu ikibakia kuwa ni chini ya robo ya bajeti walizojipangia kwenye utawala - ni biashara kichaa kweli kweli kupanga kuleta maendeleo ya Tsh 500mn/- lakini wewe ukajipangia 25bn/- kwenye shughuli ya utawala; wizi mtupu hakuna kitu pale!!

bu wa sasa unaokwenda kwa mazoea unawanyima VIJANA wa kitanzania wenye elimu na uzoefu

Kama bado ufisadi
 
Kwa hii habari inanifanya nianze kumuona huyu Mh ni kama wale wale mafisadi ila badala ya kyuwa mshambuliaji amekuwa beki sasa

kwa hii Stori naona kama nae amehusika kwenye Mikataba feki ya Madini, but time will tell




I am deeply concerned that this article gives an erroneous impression of the status of the otherwise excellent bilateral relations between Canada and Tanzania (Re: "Canada Cocooning Itself Against Third World: Lowassa" Nov. 29).

The article has not done justice to the genuine feelings of appreciation and deep gratitude of the government and people of Tanzania for the positive and beneficial development partnership and cooperation we have enjoyed with successive Canadian governments since our independence.

Likewise, the article has given the wrong impression of the status of relations between the Tanzanian government and Canadian mining companies. I was present for a substantial part of the interview between Embassy and Tanzanian Prime Minister Edward N. Lowassa.

I also accompanied the prime minister to all his discussions with Canadian federal and provincial government leaders and senior officials, as well as corporate leaders. I was present when he delivered his speeches in Calgary, Regina and Toronto.

Nowhere at all did any sense of denigration of, or frustration with, development co-operation between Tanzania and Canada emerge. Clearly, this article's message is out of sync with the central message that the prime minister brought to Canada.

The prime minister has expressly instructed me to put the record straight because the context and manner of his interview flies in the face of the reality of the tone and intention of his message to Canada.
It is not up to the Tanzanian government to determine the magnitude of Canada's international development budget.

But we note with appreciation the commitment of successive Canadian governments to increase their development assistance to Africa.

ThegovernmentofTanzania welcomes wholeheartedly the Dec. 1 announcement that the Canadian government's HIV/AIDS initiative package of an extra $120 million will be implemented this year. That this is in addition to the pledge to give $250 million over the next two years to the Global Fund is especially appreciated and welcomed by Tanzania.

Regarding relations between Canadian mining companies and the government of Tanzania, the prime minister, throughout his visit, publicly commended the Canadian mining company Barrick Gold for being the first company to successfully conclude a win-win arrangement with the government of Tanzania, and he urged other mining companies to be equally co-operative.

The prime minister was assured in his meetings withCanadian leaders that the Canadian government shared the concerns of the Tanzanian government that Canadian companies observe the same environmental, ethical and corporate responsibility standards when operating abroad as they do in Canada. Overall, Prime Minister Lowassa's visit to Canada was a great success for the further strengthening of bilateral relations, and relations between the government of Tanzania and Canadian mining companies.

The impression given by your article needs, therefore, to be weighed against these facts and realities of the visit.

OMBENI SEFUE
High Commissioner for
Tanzania
Ottawa, ON

 
Back
Top Bottom