Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Nakumbuka wakati akiwa katibu Mkuu wa CHADEMA enzi za Kikwete,Dr.Slaa alishiriki katika maandamano kadhaa yaliyokuwa yanaandaliwa na chama maandamano ambayo baadae yaliikuwa yanambaratishwa na polisi na wahusika kukamatwa na kushitakiwa.
Si hivyo tu,bali Dr. Slaa aliitwa muongo, mchochezi na mzushi enzi za utawala wa JK.
Sasa Balozi huyu mtarajiwa, hana kesi hata moja mahakamani zinazohusu kufanya maandamano haramu au kutoa maneno ya uchochezi?
Kuna kesi yoyote iliwahi futwa?
Je,itapendeza kumuapisha mtu kama ana kesi mahakamani?
Si hivyo tu,bali Dr. Slaa aliitwa muongo, mchochezi na mzushi enzi za utawala wa JK.
Sasa Balozi huyu mtarajiwa, hana kesi hata moja mahakamani zinazohusu kufanya maandamano haramu au kutoa maneno ya uchochezi?
Kuna kesi yoyote iliwahi futwa?
Je,itapendeza kumuapisha mtu kama ana kesi mahakamani?