Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
Hatimaye katibu mkuu wa wizara ya ujenzi Balozi Harbert Mrango ameongezewa muhula wa mwaka mmoja baada ya muda wake wa kustaahafu kufikia tangu mwanzoni mwa mwezi huu, Balozi Mrango ambaye alikuwa katika pilika pilika kubwa kupitia kwa rafiki yake mzee Luhanjona alifika mpaka kwa mzee Msuya ili kufanikisha azma yake hiyo amefakinikiwa zowezi lake hilo na amepokea barua ya kuongezewa mwaka mmoja tangu tarehe 20/9/20011.
Muhimu cha kujiuliza huyu mzee anatafuta nini kwa ugagalizi wake huu? utendanji wake unafahamika kwamba ni mmbovu muulize mtu yeyote pale wizarani atapasha hilo sasa ni kwa ufanisi gani alofanya mpaka aongezewa muda huo? Nadhani hongo za vibali,Tanroads zimemlewesha na habari zaidi zinatufahamisha tayari amemtuma bwana kimweri kumtengenezea michoro ya hekalu analotaka kuliporomosha kijijini kwake.
Muhimu cha kujiuliza huyu mzee anatafuta nini kwa ugagalizi wake huu? utendanji wake unafahamika kwamba ni mmbovu muulize mtu yeyote pale wizarani atapasha hilo sasa ni kwa ufanisi gani alofanya mpaka aongezewa muda huo? Nadhani hongo za vibali,Tanroads zimemlewesha na habari zaidi zinatufahamisha tayari amemtuma bwana kimweri kumtengenezea michoro ya hekalu analotaka kuliporomosha kijijini kwake.