Balozi Mpya wa Iran huko Vatican apeleka hati za utambulisho kwa Papa

Status
Not open for further replies.

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
image0084.jpg


Balozi Mpya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Holy See Bw. Mohammed Taher Rabbani amepeleka hati za utambulisho wake kwa Baba Mtakatifu Fransisco leo. Kabla ya uteuzi wake Balozi Rabbani aliwahi kuwa Balozi huko Guinea na Qatar.
 
Tanzania ina balozi/ubalozi Vatican? au ni Vatican tu ndio ina ubalozi Tanzania.
 
Sijaona mantiki ya hii kuwekwa hapa... Mbona kila kukicha mabalozi wanateuliwa kwenda huko vatcan ....
 
Balozi Mpya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Holy See Bw. Mohammed Taher Rabbani amepeleka hati za utambulisho wake kwa Baba Mtakatifu Fransisco leo. Kabla ya uteuzi wake Balozi Rabbani aliwahi kuwa Balozi huko Guinea na Qatar.
Mkuu
Umeazima ofisi ya Max & M. Smith?
 
(Romereports.com) Iran has a new ambassador to the Holy See. The Pope welcomed Mohammed Taher Rabbani to the Vatican's Apostolic Palace, where he presented the Pope with his credentials.

The ambassador came along with his diplomatic delegation and the Pope individually greeted each one of them.


As a gift, Rabbani gave the Pope a tapestry that was made in his home town and a book collection.

Before coming to Rome, Rabbani served as the Iranian Ambassador to Guinea and he was also the Foreign Ministry Director for Parliamentary and Legislative Affairs. He has also served as an ambassador in Qatar.


Video: Pope welcomes Iran's new ambassador to the Holy See - YouTube

Pope welcomes Iran's new ambassador to the Holy See
 
wenzetu wanasonga mbele....sisi tunamkataa baloz wa vatican tz sijui kwa faida ya nani....walio tufundisha dini wana elewana sis wanafunzi tuna jijengea chuki
 
Yaani dini zinaharibiwa na watu wajinga wachache. Ila kimsingi dini inatujengea maadili dini zisingekuwepo sijui tungekuwa watunwa namna gani ila makosa ni pale tunapo wapa wajinga nafasi za kusemea dini na kuanza kutoa matamko ya ovyo uki yakileta utengano baina yetu.

Tuangalie uwezo wa watu kiakili kabla hatujawapa kuongoza dini wengine hawana akili timamu.
 
Iran ni nchi ya "Kiislamu" iliyoamua kuwa na uhusiano wa kibalozi na Vatican wakati Tanzania tunaambiwa kuwa ni nchi ya kisekula imeamua kuwa na uhusiano na nchi ya kidini (dini moja kati ya nyingi zilizomo nchini)...vipi ime-balance (mfano kujiunga na OIC kwa ajili ya Waislamu) ili kuwathibitishia raia zake kuwa serikali haina dini?
 
OIC siyo nchi ni jumuia, Vatican ni nchi kama iran au Tanzania.
"Contemporary" ya Iran ni Italy ambayo tayari ina ubalozi nchini.

Vatican ingeendana na ubalozi wa Makkah! na maadamu Makkah haina ubalozi basi iwe OIC.
 
[h=1]Pope Benedict's resignation linked to gay conclave: report[/h] [h=2]A 300-page dossier compiled by three cardinals investigating the theft of Vatican documents was reportedly given to the Pope the day he decided to resign. The investigation is said to have uncovered a number of factions within the Vatican of gay men who have engaged in sexual activity with male prostitutes and at organized sex romps.[/h]
 
image0084.jpg


Balozi Mpya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Holy See Bw. Mohammed Taher Rabbani amepeleka hati za utambulisho wake kwa Baba Mtakatifu Fransisco leo. Kabla ya uteuzi wake Balozi Rabbani aliwahi kuwa Balozi huko Guinea na Qatar.

Mkuu umeanzisha uzi halafu umekimbia. Kwani cha ajabu ni nini ilihali member of Parliament nchini Iran ni Jews and Christians.

Nakuheshimu sana Mzee Mwanakijiji lakini kwa uzi huu ulioleta ni itaanza battle ya maneno btn Muslim v Christian wakati hayo mambo tulishaanza ya kuyasahau nchini kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Matola
Naona wewe ndio umeandika kama mjinga; sisi tunaofahamu mambo tunaelewa Iran pamoja na kuwa ni nchi ya kiislamu haimaanishi kuwa ni wananchi wa Iran 100% ni waislamu; ndani ya bunge la Iran; wayahudi ma wakristo wanawawakilishi wao; ni punguani tu ndiye atakayeona ajabu kwa Iran kuwa na mwakilishi Vatican; nadhani umenielwa nikifunguka zaidi mshabiki mwenzako Paw atalishia ban
Sasa tatizo liko wapi kwa Vatican kuwa na ubalozi Tanzania?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom