Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,932
Huyu maza ameimisi mitongozo
Haaaa wazeee wanajua kutongozana siku ukiwafuma wanatongozana hutaamini maneno yaoHuyu maza ameimisi mitongozo
Halafu wanaume mapanki yale ya sangalaAta wanawake walikuwa mama zetu, mlibaki ni Mangwala/makinikia tuu..
Njoo nikutongoze ndo utajua wanaume original wapo au la? Maneno tu nakula mzigo bila senti na kesho unarudi mwenyeweNdomuamini nikisema Wanaume original walikuwa zamani wasasa hivi wengi mitumba ya kichina wanawake tusake pesa kihalali
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu kitu ukiwa umeelewa sentence sawa usikurupuke tu kujibu Mimi sina haja yakutongozwa wala sihitaji naongea kitu uhalisia zamani Na.sasa tofauti zamani mwanaume pia alikuwa anajiheshimu sasa wapi tena mkikaa kutukana viungo vya mama zenu sijui mnaonajeNjoo nikutongoze ndo utajua wanaume original wapo au la? Maneno tu nakula mzigo bila senti na kesho unarudi mwenyewe
Madogo watamtokea! Asizingue tu maana vina na mistari kwa kwenda mbele.Haaaa wazeee wanajua kutongozana siku ukiwafuma wanatongozana hutaamini maneno yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakuelewa na ndo maana nataka uone tofauti na usi.generalize, japo kuna tofauti ila si kwa wote, hata wanawake walikuwa zamani, unamtongoza mwanamke mwaka hujawahi kukutana nae kimwili, leo hii mkikaa wote kwenye daladala la gongo la mboto - ubungo ukaanza kuimbisha kufika riverside kashalainika mnateremka hapo unampeleka Kinyaiya house unamaliza, ebu fikiria scenario kama hiyo, kweli kuna wanawake? Ila tunasema sio wote ni baadhi wa hivyo ila wengine bado ni wagumu na wana ukaleJibu kitu ukiwa umeelewa sentence sawa usikurupuke tu kujibu Mimi sina haja yakutongozwa wala sihitaji naongea kitu uhalisia zamani Na.sasa tofauti zamani mwanaume pia alikuwa anajiheshimu sasa wapi tena mkikaa kutukana viungo vya mama zenu sijui mnaonaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasaivi mwanaume akikufwatilia tu wiki anakata tamaa namatusi juuNinakuelewa na ndo maana nataka uone tofauti na usi.generalize, japo kuna tofauti ila si kwa wote, hata wanawake walikuwa zamani, unamtongoza mwanamke mwaka hujawahi kukutana nae kimwili, leo hii mkikaa wote kwenye daladala la gongo la mboto - ubungo ukaanza kuimbisha kufika riverside kashalainika mnateremka hapo unampeleka Kinyaiya house unamaliza, ebu fikiria scenario kama hiyo, kweli kuna wanawake? Ila tunasema sio wote ni baadhi wa hivyo ila wengine bado ni wagumu na wana ukale
Wakati huu umepata?Ushahidi kwani hapa mahakamani???
Wewe mbona ulininyima nanilii kisa sikuwa na pesa..!
Pesa huwa haisemi..! Ata kipindi kile ilikuwepo tuuh..!
mbwai iwe mbwaiMama, hata tukiwapa maneno matamu hawataki, wanataka pesa ndio maona huwa tunaamua kuwabaka kama mbwai iwe mbwai
Mbunge wa siku nyingi na mwanasiasa nguli nchini Mh Mama Getrude Mongela amesema vijana wa miaka hii wamevunja tamaduni na mila kiasi cha kuibuka kwa wimbi la kubaka,
Zamani ungeonekana kituko ukisikika umebaka huwezi kusikia mtu amebaka kwani wanaume wa zamani walikua na maneno matamu ya kuwaeleza wasichana na kupatana kuliko miaka hii' hali ya miaka hii kwa vijana hawajui kutongoza ndio inapelekea kuwabaka wasichana hivyo ameshauri vijana watumie busara na maneno matamu ili wapatane kuliko kubakana na kupunguza ongezeko la magonjwa na kesi nyingi za ubakaji nchini, hivyo amerejea kauli kwamba vijana waingie darasani wakafundwe kutongoza kwa busara
na usibake
Bado unalima?Pesa huwa haisemi..! Ata kipindi kile ilikuwepo tuuh..!
Kulima asili yangu..! Kimbia pm uchukue my # nikusalimie kidogo..!