mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,191
NAONA KAGOMA HATA KUWAPA SALAM ZA IDDI.KISA? YUKO BIZE
Halafu anataka kuwa cloze na watanzania
Ndugu yetu saidi yakubu alikwepo naye hapo kwenye baraza la iddi manor park, east london, (sehemu ya london yenye watanzania wengi zaidi).
Maelezo yanatoka kwenye blog yake:
Lakini zaidi ya hayo ningependa kuchua nafasi hii kuwafahamisha kuwa balozi wetu bi mwanaidi majaar hajatoa salam zozote kwa watanzania waislam waliopo uk kwa sababu balozi tumeambi alikuwa "bizee" tofauti na balozi kibello aliyeondoka ambaye pamoja na mapungufu yote huwa alikuwa natoa slama na kujumuika nasi pale manor park.once again balozi kaonyesha jinsi gani alivyokuwa na nia ya kujumuika na watanzania kwa ujumla
Vile vile katika hali ya kushangaza ni kuwa mwenyekiti wa tanzania association uk bwana aboubakar faraji aligoma kutoa mchango wa kufanya baraza la iddi kwa sababu waislam wa north london walikataaa masharti yake ya kutaka kuweka matangazo yake western union!
Swali ni je tangu lini baraza la iddi likawa sponsored na matangazo?
Halafu anataka kuwa cloze na watanzania
Ndugu yetu saidi yakubu alikwepo naye hapo kwenye baraza la iddi manor park, east london, (sehemu ya london yenye watanzania wengi zaidi).
Maelezo yanatoka kwenye blog yake:
Lakini zaidi ya hayo ningependa kuchua nafasi hii kuwafahamisha kuwa balozi wetu bi mwanaidi majaar hajatoa salam zozote kwa watanzania waislam waliopo uk kwa sababu balozi tumeambi alikuwa "bizee" tofauti na balozi kibello aliyeondoka ambaye pamoja na mapungufu yote huwa alikuwa natoa slama na kujumuika nasi pale manor park.once again balozi kaonyesha jinsi gani alivyokuwa na nia ya kujumuika na watanzania kwa ujumla
Vile vile katika hali ya kushangaza ni kuwa mwenyekiti wa tanzania association uk bwana aboubakar faraji aligoma kutoa mchango wa kufanya baraza la iddi kwa sababu waislam wa north london walikataaa masharti yake ya kutaka kuweka matangazo yake western union!
Swali ni je tangu lini baraza la iddi likawa sponsored na matangazo?
PICHA:
1. Imam wa Ibada ya leo Ustadh Hamisi alifananisha mwezi wa Ramadhani uliomalizika kama ni chuo kikuu cha Ibada na kuelezea umuhimu wa kuendeleza uzoefu wa Ibada uliopatikana nje ya mwezi wa Ramadhani, nilipozungumza nae baadae alinielezea namna walivyo na afueni kwa kuruhusiwa kutekeleza uhuru wao wa kuabudu hapa Uingereza ukilinganisha na nchi nyingine za Ulaya.
2.Watu walikuwa ni wengi kwa hakika na mchango wa papo hapo kulipia ukumbi wa sala ya Iddi ulichangisha kiasi cha £425.00 na hakika eneo lote la chini lilijaa na wengine kulazimika kusali katika ghorofa ya juu na wengine nje. Matokeo kama haya yanakufanya udhani kisahihi kabisa kuwa wabongo tupo wengi...
3. Mwenye bakora ni Al Maarufu GARAMTENI...UKITAKA HALUA WE ULIZA TU..
4. Bingwa wa zamani wa kusoma Quran Ustadh Masudi alikuwepo na hapo akiwa mitamboni..
5.Ustadh Nassor wa EAST AFRICAN FOUNDATION nae pia alikuwepo na hapa alikuwa akizungumzia umuhimu wa kutoa zakatil fitr- ambayo alieleza ni lazima kutolewa na muislamu yeyote mwenye uwezo wa kula idd kwa wasio na uwezo huo ili nao wajisikie...
BLOG HII INAWATAKIWA WADAU WOTE IDD MUBARAK AGAIN...