Balozi Majaar ushabiki wa CCM mpaka misibani!

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
unafiki uliozidi kipimo kutoka kwa balozi wetu Mrs Maajar. alidai hatowabuagua watu lakini ukiwa mfadhili wa CCM basi atachma mafuta all the way ili sura yake ionekane tuu


Kama mtakumbuka mwezi April (10th of April) I believe kulitokea misiba 2 Reading. Marehemu Peter Gachuma na Thomson Msigwa walifariki kwenye ajali ya gari huko Mwanza.



Baada ya wiki moja (I think April 20th) familia ya Peter Gachuma na jamaa wengine waliokuwa wanasali nao kanisa moja walifanya misa maalum ukumbi wa 79 London Road, Reading kumuombea marehemu na pia kutoa shukrani kwa ushirikiano walioupata.


Katika misa ile hakukuwa na MUWAKILISHI wala SALAMU za rambirambi kutoka Ubalozini. Misa iliendelea na kumalizika salama salimini, msiba ukafungwa rasmi.


Siku na wiki zikapita, jana kukawa na misa nyingine ya kumuombea marehemu na hasa kwa familia ya Gachuma kutoa shukrani tena, pale pale ukumbi wa 79 London Road, Reading ambapo Mzee Gachuma mwenyewe (Baba wa marehemu Peter) kutoka Mwanza naye alikuwepo. Guess what Balozi Mwenyewe (Mrs Majaar) na Mumewe nao walikuwepo. All the way from London kuja kuhudhuria misa ya msiba uliotokea a months and a half ago ambao hawakutuma wala samu za rambirambi.


Sasa unaweza kujiuliza unafiki hapo upo wapi; Mzee Gachuma ni tajiri mkubwa Mwanza kwa sababu ya hisa zake Coca Cola na business nyingine na pia mfadhili mzuri wa CCM. Balozi Maajar hakujali msiba ulipotokea bali pale tu mfadhili wa CCM alipotua mjini ndipo akajitokeza kuonyesha sura. Kwa hili amenichosha kupita kipimo.
 
Sasa ulitegemea Maajar awe shabiki wa chama gani hata hivyo kutokufika kwake kwenye msiba una uhakika gani kama alikuwa na taarifa? acha ushabiki wa CUF usiokuwa na msingi wowote
 
haka ndo kale kamama ambako kanatakiwa kuwa makini sana. aombe Mungu asiwe aliwahi kujishirikisha kwenye kusaini mikataba ya madini, kwasababu huyu mama aliwahi kuwa na lawfirm imara sana inayoshugulika na madini kwa wawekezaji. aombe Mungu siku isssue zisijekuja kulipuka. hata kule kuteuliwa kwake kwenda ubalozini(anapata hela ndogo kuliko alizokuwa anapata alipokuwa lawyer), kulitia wasiwasi sana kwa wadau, ni kama walikuwa wanamkimbiza soo vile, na ni kama walikuwa wanamuweka aende kwenye njia wanayopitia mamwela wa kiwekezaji wanaopenda mikataba ya kifisadi.
 
Huyu mama balozi itakuwa alipewa maagizo kutoka juu; kuna mzee anakuja UK hebu hakikisha unampa company.!!!
 
Back
Top Bottom