Washobokela!😂😁Waguma
UjanjaujanjaHili jina lake nalipenda sana,eti Mulamula!
Eeeh kumbe akidanceMamahakujali nchini ipo ktk maombolezo ila yy aliingia bungeni akifurahia tena hasa wakati baada ya kiapo alipo kuwa akionyeshwa seat ya kukaa yy akawa ana dance dance yaan ...enzi za hayati uruke ruke vile bungeni ..mbona baada ya nusu saa mzee anatengua uteuzi
Ww hujui alichokuwa ametarget,kulingana na position yake hakutaka ajitofautishe na hko duniani ili asikwame mahalaKaingia peke yake na barakoa wakati bunge zima hakuna aliyekua kavaa barakoa
Watani zangu wahaya hupenda kujitofautisha kuonekana different naye ni mhaya
Bukoba kwa Wazee wa kusogeza vilamula kwenye mipakaUjanjaujanja
Ali dance sasa sijui alikuwa overwhelmed na uteuzi au nn sijuiEeeh kumbe akidance
Kateuliwa akiwa na miaka 65 hata wewe unge danceAli dance sasa sijui alikuwa overwhelmed na uteuzi au nn sijui
Wakati wa Kuapishwa na Raisi mbona hakuvaa barakoa?Ww hujui alichokuwa ametarget,kulingana na position yake hakutaka ajitofautishe na hko duniani ili asikwame mahala
Kateuliwa akiwa na miaka 65 hata wewe unge dance
BojoWaguma
Nisinge fanya icho kituKateuliwa akiwa na miaka 65 hata wewe unge dance
Nani wa kukuteua? Kwa lipi?Nisinge fanya icho kitu