Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

Kumbe mlijua mchafu?
Kwanini mliendelea kumpa nyadhifa mbali mbali? Kaondoka ndo mnastuka?
Ke.nge kweli nyie?

alikuja na maelezo ya kitaalamu,,,ooh sasa inabidi viwanda tuuze mr presdent,tujitoe katika biashara",,,,sasa akauza na hela hatuioni,,,akawekwa benchi
 
Haina uwezo vipi?
Imepiga chini waziri mkuu kwa skendo ya ufisadi na baadae kumkata kwenye kinyang'anyiro cha urais.
Kina Mramba na Yona wako segerea.

Subiri mahakama ya mafisadi...

Chenge yuko wapi?Tibaijuka yuko wapi?
Wahusika wa escrow wote wako wapi?
 
Tunataka kugeuza wapugadili kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine kama mbaya iwehivyo. Mtu akitangaza kuhama tu ndio anachafuka lakini akiwa huko ujizini ni msafi! Shame on u kidudee

Wapiga dili kamwe hawawezi kukaa meza moja na Magufuli ni lazima wasepe lakini ahadi ni kwamba watafuatwa huko huko!!
 
Kichwa cha habari kinasomeka Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma! Lakini ndani umeandika utumbo wa kuku wa kisasa!
 
Duuu wakati huu ndo umjadili kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma kwa nini haikuwa wakati akiwa anayatekeleza majukukumu ya ukamishina napata hisia wazo lako zuri limepitwa na muda na kwamba mabadiliko tarajiwa yatakidhi marekebisho yote
 
Duuu wakati huu ndo umjadili kuhusu ubinafsishaji wa mashirika ya umma kwa nini haikuwa wakati akiwa anayatekeleza majukukumu ya ukamishina napata hisia wazo lako zuri limepitwa na muda na kwamba mabadiliko tarajiwa yatakidhi marekebisho yote

Ni wakati muafaka wa kujadili juu ya viwanda vyetu kwani Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya viwanda!!ipo kwenye ilani ya ccm
 
Kichwa cha habari kinasomeka Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma! Lakini ndani umeandika utumbo wa kuku wa kisasa!

Nenda kaangalie profile tcu...this is too big for the babies!!
 
huyu bwana mwapachu ndo alikua boss ,ama kamishna aliepewa kazi na rais arekebishe mashirika ya umma kwani yalikua yakilegalega,,,,,asee badala ya kurekebisha akauza,,,,halafu ukawa wanadai viwanda viko wapi,,,,muulizeni mwapachu aeleza alikovipeleka

Ona mnavohaha!
Nyumba yako, vitu vya ndani vinauzwa, na wewe unaona vinauzwa halafu aulizwe uliye mwajir kwanini vinauzwa?
Kuna fuse haiko sawa ubongoni mwako?
 
alikuja na maelezo ya kitaalamu,,,ooh sasa inabidi viwanda tuuze mr presdent,tujitoe katika biashara",,,,sasa akauza na hela hatuioni,,,akawekwa benchi

Kumbe kilaza ni Mr president ambaye anapelekewa story anasain! !
Watoto wa mjini wanapiga hela!
Sasa acha tumpeleke anayeuliza ile mia ilikuwa hapa iko wapi aisee! ?
 
Baada ya udukuzi kidogo nimepata CV ya Juma Mwapachu na kilichonivutia ni kuona kuwa aliwahi kuwa kamishna wa Tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma(PPSRC)

Swali langu kwa wale wenye kumbukumbu hebu tujadili performance yaka akiwa huko na hamu yake ya kutaka mabadiliko.

Tuje na Hoja bila vihoja!!

Huyo Mzee ni miongoni mwa wapiga deal ila siku si nyingi mahakama ya mafisadi ikifika lazima waje wajibu kwa nn waliuza mashirika na viwanda vyetu
 
Alipohama na kujitangaza maana yake anahitaji attention.Na sisi tumo humo kumpa hiyo public applause anayoitegemea.

Turudi kwenye hoja ya msingi mkuu

Na hiyo ndo kanuni Mkuu. Hata katika maisha ya kawaida watu wengi hawahitaji kumjuwa mtu. Lakini mtu akifa watu wanapenda kumjua. Na huo ndo msingi na sababu ya kusoma Wasifu wa watu baada ya msiba.
 
Ni puuzi kujadili ubinafsishaji bila kumjadili Mkapa.

Kamishna tu, tena wa katume tu !! Anawezaje kuwa na nguvu kuliko waziri?? kuliko Rais ??

Juma Mwapachu IS CLEAN MAN, A VERY CLEAN MAN. Vijana wa Lumamba hizi propaganda mnaendesha zitawaghalimu sana.

Hongera Juma Mwapachu kwa UAMUZI SAHIHI, WA KIZALENDO.
 
Kama umepata CV yake unataka kujadili nini? JVM ni jembe. One of the few intellectuals we have in TZ.
 
Ni watu ambao screws kadhaa katika bongo zao zimeachia ndo wanahadaika na wanashabikia na ahadi ya kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi. Sheria na mahakama zilizopo zinatosha kabisa kuwafikisha mafisadi mbele ya sheria. Mbona wengine wamefikishwa?
 
Baada ya udukuzi kidogo nimepata CV ya Juma Mwapachu na kilichonivutia ni kuona kuwa aliwahi kuwa kamishna wa Tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma(PPSRC)

Swali langu kwa wale wenye kumbukumbu hebu tujadili performance yaka akiwa huko na hamu yake ya kutaka mabadiliko.

Tuje na Hoja bila vihoja!!

Akiwa kamishna alifanya kazi mwaka gani mpaka mwaka gani.... . Na mashirika yalikufa mwaka gani??
Lakini pia, kazi yake hasa ilikuwa ni nini akiwa kamishna...
Jibu hayo Kisha tujadili performance yake!!
 
Back
Top Bottom