Balozi Hamis Kagasheki: Kagasheki: Mwalimu Nyerere alikataa kuitwa Mtukufu, Daktari wala Profesa, alitaka aitwe Mwalimu

Eraldius

JF-Expert Member
Jun 17, 2011
1,120
906
Kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika Balozi Hamis Kagasheki;

Nakumbuka baada ya kupata uhuru 1961, baadhi ya viongozi waliona ni adabu kumuita kiongozi wa wakati huo kama "Mtukufu" na vyeo vingine. Aliposikia alikuwa mkali mno. Alisema mbali na utambulishi wa nyadhfa zake ie Rais au Mwenyekiti wa Chama, hakutaka aitwe kwa titles nyingine Alisema yeye sio Mungu kuitwa "Mtukufu". Alisema kapewa "Udaktari", "Uprofessor" nk. anashukuru lakini visitumike.

Alisema yeye alikuwa "Mwalimu" na kuwa "Rais" hakujabadili historia yake kwa hiyo hilo atalikubali na tangu hapo sote tukamuita "Mwalimu".

#KSK_Balozi
 
Kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika Balozi Hamis Kagasheki;

Nakumbuka baada ya kupata uhuru 1961, baadhi ya viongozi waliona ni adabu kumuita kiongozi wa wakati huo kama "Mtukufu" na vyeo vingine. Aliposikia alikuwa mkali mno. Alisema mbali na utambulishi wa nyadhfa zake ie Rais au Mwenyekiti wa Chama, hakutaka aitwe kwa titles nyingine Alisema yeye sio Mungu kuitwa "Mtukufu". Alisema kapewa "Udaktari", "Uprofessor" nk. anashukuru lakini visitumike. Alisema yeye alikuwa "Mwalimu" na kuwa "Rais" hakujabadili historia yake kwa hiyo hilo atalikubali na tangu hapo sote tukamuita "Mwalimu".
#KSK_Balozi
alikuwa mnyenyekevu baba wa watu.... siyo hawa kina Dully!
 
Kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika Balozi Hamis Kagasheki;

Nakumbuka baada ya kupata uhuru 1961, baadhi ya viongozi waliona ni adabu kumuita kiongozi wa wakati huo kama "Mtukufu" na vyeo vingine. Aliposikia alikuwa mkali mno. Alisema mbali na utambulishi wa nyadhfa zake ie Rais au Mwenyekiti wa Chama, hakutaka aitwe kwa titles nyingine Alisema yeye sio Mungu kuitwa "Mtukufu". Alisema kapewa "Udaktari", "Uprofessor" nk. anashukuru lakini visitumike. Alisema yeye alikuwa "Mwalimu" na kuwa "Rais" hakujabadili historia yake kwa hiyo hilo atalikubali na tangu hapo sote tukamuita "Mwalimu".
#KSK_Balozi
Nyerere alikuwa mtakatifu wa kweli sio hawa watakatifu wa kulazimisha kwa kutumia jeshi la polisi.
 
Asante sana mzee wetu wa Kasibante radio kwa kutufumbua macho
Kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika Balozi Hamis Kagasheki;

Nakumbuka baada ya kupata uhuru 1961, baadhi ya viongozi waliona ni adabu kumuita kiongozi wa wakati huo kama "Mtukufu" na vyeo vingine. Aliposikia alikuwa mkali mno. Alisema mbali na utambulishi wa nyadhfa zake ie Rais au Mwenyekiti wa Chama, hakutaka aitwe kwa titles nyingine Alisema yeye sio Mungu kuitwa "Mtukufu". Alisema kapewa "Udaktari", "Uprofessor" nk. anashukuru lakini visitumike. Alisema yeye alikuwa "Mwalimu" na kuwa "Rais" hakujabadili historia yake kwa hiyo hilo atalikubali na tangu hapo sote tukamuita "Mwalimu".
#KSK_Balozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom