Balozi Hamis Kagasheki, familia yake na siasa za CCM Bukoba mjini!

Status
Not open for further replies.
Mkuu wangu Ndinani huyu jamaa aliondoka WIPO baada ya kashfa ya ubadhirifu wa fedha za shirika,kashfa ambayo ilimuhusisha na aliyekua Mkurugenzi Mkuu,raia wa Sudan. Inawezekana ni majungu ama ubaguzi wa rangi uliopelekea hizo tuhuma,lakini pili inawezekana walipiga,lakini walikua smart kufuta nyayo! Hadhi ya cheo alipewa kama kawaida ya magamba wanavyojigawia vyeo. Alikua mwanaubalozi Uswizi. Ili watumishi wengine waliokua ktk daraja naye wasilalamike,alipewa hadhi/daraja la ubalozi na wenzake wawili waliokua ktk ubalozi wetu Geneva,Uswizi. Baadaye hii kitu ilizusha malalamiko toka kwa baadhi ya watumishi ktk Wizara ya Mambo ya Nje. Hawa jamaa waliamua kuondoka na kutafuta kazi ktk Mashirika na Taasisi za Kimataifa pale Uswizi!

Kamanda Timbilimu, nakushukuru kwa kufunguka kuleta taarifa sahihi!!! Sasa nyie mnaobisha leteni hadithi yenu iliyotofauti na ukweli huu.
 
Balozi Kagasheki ni mbunge wa Bukoba mjini. Abubakari Kagasheki ni mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi wa Wilaya ya Bukoba Mjini, jumuiya iliyoko chini ya CCM. Abdul Kagasheki anagombea awe Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kutokea Bukoba Mjini. Suedi Kagasheki anagombea awe mjumbe wa kuwakilisha Wilaya kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Taifa tokea Bukoba Mjini.

Katika hotuba yake kwa wajumbe waliomchagua Abubakari Kagasheki, amesema na ninamnukuu, " Nawashukuru familia yangu kwa kuniwezesha Kwa hali na mali katika uchaguzi huu. Kwa namna ya pekee niwashukuru Abdul Kagasheki na Hamis Kagasheki kwa kuniwezesha kwa hali na mali kushinda uchaguzi huu.

Ndugu wajumbe, Familia yetu inayo historia kubwa katika CCM kiasi kwamba Marehemu Baba wa Taifa akidai Uhuru alilala kwa Baba yangu, na ndio maana hivi karibuni niliitwa Ikulu kwa ajili ya kupokea nishani iliyotolewa na rais kwa ajiri ya baba yangu. Hivyo Familia yetu inaijua CCM zaidi ya yeyote katika wilaya hii.Hivyo mtu wa FAMILIA YETU AKIGOMBEA TUTA HAKIKISHA ANAPITA KWA NJIA YOYOTE ILE" mwisho wa kunukuu.

Wanachama, wadau, na wakereketwa wa CCM Wilayani Hapa wamebaki na bumbuwazi na kujiuliza HIVI SIASA ZA CCM BUKOBA MJINI KUHODHIWA NA FAMILIA MOJA, ni kwa ajili ya MASLAHI YA CHAMA, WANACHAMA NA TAIFA AU NI ZA KUJINUFAISHA BINAFSI? NA JE, KWA VITISHO HIVI CHAMA BUKOBA MJINI KINA ELEKEA WAPI?

lakini mkuu si wanagombea ..???! au wanateuliwa..?! kama wanagombea hakuna tatizo...! kama wanateuliwa kuna umuhimu wa kuhoji
 
The substantive issue is not whether WIPO appointed him balozi or not, ni kwamba aliachishwa kazi kwa ubadhirifu na hilo ndio ukatae au ukubali!! Unaweza kuwa uko wizara ya mambo ya nje, if at all but you are not informed!!

kiongozi, angalau umekubali wipo haikumteua kagasheki ubalozi. aidha kagasheki hakuachishwa kazi wipo bali aliacha mwenyewe, sasa kama hilo hutaki sina jinsi ya kukusaidia.
 
Correction: Nyerere akiwa hai hakurithisha mtoto wake hata mmoja cheo. Makongoro amepata ubunge Arusha kwa kutegemea kura za "walevi" wenzake. Amepata uenyekiti wa CCM mkoa wa Mara licha ya kwamba Lowassa alimwaga shillingi milioni 300 kumwangusha. Amepata ubunge wa Afrika mashariki bila kuhonga hata senti tano, tofauti na kijana wa Malecela. It is a minor correction but heavy.

wewe bado mtoto umewahi kumsikia mtu aitwaye joseph nyerere ? huyo ni mdogo wake nyerere aliwahi kupewa vyeo ngazi mbalimbali na hayati baba wa taifa je unafahamu uhusiano wa nyerere na joseph butiku ? fanya utafiti ndipo uchangiye dogo
 
Naongelea utamaduni wa kurithishana vyeo katika chama cha CCM, regardless ya Nyerere kataka hilo au la.

Halafu Nyerere is not above nepotism, sie yeye aliyewajaza Wakurya jeshini na Wazanaki usalama wa Taifa?

Rosemary Nyerere hajawahi kuwa mbunge wa viti maalum wakati wa uhai wa Nyerere?

Hakukuwa na viti maalumu wakati wa utawala wa Nyerere!
 
wewe bado mtoto umewahi kumsikia mtu aitwaye joseph nyerere ? huyo ni mdogo wake nyerere aliwahi kupewa vyeo ngazi mbalimbali na hayati baba wa taifa je unafahamu uhusiano wa nyerere na joseph butiku ? fanya utafiti ndipo uchangiye dogo

Joseph Nyerere alikuwa na vyeo vya kupigiwa kura Butiku ni technocrat, sioni mtu impartial atakaeona nepotism katika mazingira hayo!
 
Tatizo ni kwamba wewe ni mpika majungu, kama wewe unataka kunusuru hii hali kuna mtu anakuzuia,? kwani hukijui kile chama ambacho baba, wakwe na wakeze wote wamo kwenye keki ya chama.

Nakushauri acha kulalama na wewe changamkia fursa kama umeliona hilo, na usilaumu familia za watu, kwani jukumu la familia ni kuhakikisha mtu yeyote katka familia anapata elimu bora na kazi nzuri.
[/QUOTE]

Hata hivyo CCM hawajawahi kutafuna maneno ila wametamka wazi mara nyingi tu kwamba "CHAMA KINA WENYEWE".
 
Kamanda Timbilimu, nakushukuru kwa kufunguka kuleta taarifa sahihi!!! Sasa nyie mnaobisha leteni hadithi yenu iliyotofauti na ukweli huu.

heshima kwako kiongozi, naona umeishaamua ukweli ni upi. hata hivyo si vibaya ukipewa maelezo ya ziada ambayo yanaweza saidia badilisha mtazamo wako na wa wengine wenye mtazamo sawa na wako. ukimsoma timbilimu vizuri utaona kwamba amesema kagasheki "aliondoka wipo" na si kwamba alifukuzwa wipo.

tuhuma anayozungumzia timbilimu ilihusisha ujenzi wa jengo la wipo na ilivaliwa njuga na gazeti moja liitwalo "le temps". kwa wale wa siku nyingi hapa forums watakumbuka hili gazeti lilitajwa na waliokuwa wamebebea bango hizi habari hapa ukumbini. kufuatia tuhuma hizo uchunguzi ulifanyika na shirika na serikali ya uswiz na tuhuma hizo zikaonekana hazina ukweli. na hakuna aliyepata kuhukumiwa kwa tuhuma hizo. ndio maana awali nilisema kama kuna ushahidi wa ziada muumwage hapa uwanjani. natumaini maelezo haya yatakupa picha kamili kuhusu hili suala. sasa uamuzi ni wako wa kuamini "usahihi na ukweli" aliofunguka timbilimu au la.

kuhusu ubalozi, kagasheki aliupata huo ubalozi akiwa tayari amekwishajiunga na wipo, hivyo inabidi timbilimu aangalie source zake zinazosema kagasheki aliupata ubalozi akiwa ubalozini geneva. naamini unafahamu kwamba ubalozi ni sawa na ukurugenzi na kagasheki tayari alikuwa na hadhi ya ukurugenzi huko alikokuwa. malalamiko huwezi yakosa. hebu nenda pale mambo ya nje uulize ni wangapi wanaona wamerukwa na wachini yao kwenye masuala ya ubalozi kisha urudi na majibu hapa :)
 
Joseph Nyerere alikuwa na vyeo vya kupigiwa kura Butiku ni technocrat, sioni mtu impartial atakaeona nepotism katika mazingira hayo!

halafu wakati wa azimio la arusha jamaa (joseph r.i.p) alishukiwa vilevile na mali zake kadhaa zilikwenda na maji.
kisha wakati wa nduli iddi amini madaraka na makongoro wakapelekwa frontline! huyo ndio alikuwa julius r.i.p
 
Sioni tatizo hata wajukuu zao wakipewa uongozi as long as hawachezi rafu za rushwa.

Pengine it runs in the family hiyo mambo ya uongozi uongozi
 
Tatizo ni kwamba wewe ni mpika majungu, kama wewe unataka kunusuru hii hali kuna mtu anakuzuia,? kwani hukijui kile chama ambacho baba, wakwe na wakeze wote wamo kwenye keki ya chama.

Nakushauri acha kulalama na wewe changamkia fursa kama umeliona hilo, na usilaumu familia za watu, kwani jukumu la familia ni kuhakikisha mtu yeyote katka familia anapata elimu bora na kazi nzuri.

Hata hivyo CCM hawajawahi kutafuna maneno ila wametamka wazi mara nyingi tu kwamba "CHAMA KINA WENYEWE".[/QUOTE]kwanini wewe usiwe mmoja wao, hilo linakutisha nini? hizo ni dalili za kukata tamaa na hakuna sumu mbaya ya kufeli maisha kama kukata tamaa na kubaki kulalama tu.
 
Kweli Familia ya kagasheki sijui kama wana akili ya kutosha, na siamini kama watu wa bukoba wote awajui ccm huu ni ujinga sana
 
Balozi Kagasheki ni mbunge wa Bukoba mjini. Abubakari Kagasheki ni mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi wa Wilaya ya Bukoba Mjini, jumuiya iliyoko chini ya CCM. Abdul Kagasheki anagombea awe Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kutokea Bukoba Mjini. Suedi Kagasheki anagombea awe mjumbe wa kuwakilisha Wilaya kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Taifa tokea Bukoba Mjini.

Katika hotuba yake kwa wajumbe waliomchagua Abubakari Kagasheki, amesema na ninamnukuu, " Nawashukuru familia yangu kwa kuniwezesha Kwa hali na mali katika uchaguzi huu. Kwa namna ya pekee niwashukuru Abdul Kagasheki na Hamis Kagasheki kwa kuniwezesha kwa hali na mali kushinda uchaguzi huu.

Ndugu wajumbe, Familia yetu inayo historia kubwa katika CCM kiasi kwamba Marehemu Baba wa Taifa akidai Uhuru alilala kwa Baba yangu, na ndio maana hivi karibuni niliitwa Ikulu kwa ajili ya kupokea nishani iliyotolewa na rais kwa ajiri ya baba yangu. Hivyo Familia yetu inaijua CCM zaidi ya yeyote katika wilaya hii.Hivyo mtu wa FAMILIA YETU AKIGOMBEA TUTA HAKIKISHA ANAPITA KWA NJIA YOYOTE ILE" mwisho wa kunukuu.

Wanachama, wadau, na wakereketwa wa CCM Wilayani Hapa wamebaki na bumbuwazi na kujiuliza HIVI SIASA ZA CCM BUKOBA MJINI KUHODHIWA NA FAMILIA MOJA, ni kwa ajili ya MASLAHI YA CHAMA, WANACHAMA NA TAIFA AU NI ZA KUJINUFAISHA BINAFSI? NA JE, KWA VITISHO HIVI CHAMA BUKOBA MJINI KINA ELEKEA WAPI?

CHADEMA tumieni muda mwingi kurejesha umoja na uzalendo ndani ya chama chemu kuliko kutumia muda mwingi kutoa maelekezo kwa CCM, hatidanganyiki
 
Do we have any doubts about ability of Hamis Kagasheki as a minister? Maana tusizungumzie historia peke yake tukasahau uwezo wa watu...if they do well, let the truth be told.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom