Balozi Hamis Kagasheki, familia yake na siasa za CCM Bukoba mjini!

Status
Not open for further replies.
mimi ninaelimu kuliko wewe, mama yako, baba yako, bwana wako, na kizazi chako! hakifikii elimu yangu hata kwa punje, kama hao wanaoekana hapo tra wachaga wangekuwa wanakidhi tija na vigezo je? taifa lingeyumba kimapato kama ilivyo sasa,watu wangekuwa wankwepa kodi kijinga? hawana muelekeo wala uzalendo wa kazi bali ni wizi na rushwa sasa hivi kwako ndo vigezo? elimu imekupitia pembeni wewe, aba yako elimu aliyokupa ni ya wizi! eti wanakidhi tija,tija gani hata kukusanya kodi hawawezi! wamesomea kodi ya wizi na si kodi inayohitajika kwa maendeleo! mkuu kama upo hapo tra basi dhairi na wewe ni mchaga uliye wekwa na bwana wako hapo! mana hatuoni cha maana mnacho isaidia nchi zaidi ya kuiiia nchi na kuzidiwa na watu wa nje kuwaibia kodi! tangu uko hapo tra unalipi la maana ulilolisaidia taifa lako kwenye mapato zaidi ya kuwaibia walipa kodi wadogo tu mkuu.kifupi wachaga wameteuana hapo tra, na hakuna la maana wanalolifany! shame on you mwizi wewe.
 
kiongozi, hizi tuhuma ulizomwaga hapa unaushahidi mpya? manake hili suala la wipo lilipata zungumzwa hapa jamvini
na watu wakashindwa kutoa maelezo mazuri kuhusu hizo tuhuma. sasa wewe kama umepata ushahidi mpya hebu zimwage hapa. kuhusu ubalozi je unahakika kwamba hakuwa amefika ngazi ya kuteuliwa ubalozi? kumbuka mambo yaa nje balozi ni ngazi ya ukurugenzi.

Mkuu kwani unafikili kwa nini TAIFA letu liko nyuma kimaendeleo! Kifungo cha Roho mbaya na wivu uliyo kithili imegeuzwa kuwa tamaduni vile. Yote haya wanayasema ili Khamisi aonekane si lolote si chochote, wanao msema wanaoneka wazi wazi kwamba hawamjuhi Khamisi na Buba kwa karibu - wanabuni buni tu kutokana na chuki zao binafsi za kwa NINI?

Watueleze ni lini Khamisi alifikishwa mahakamani huko Ulaya au hapa nchini kwa tuhuma zozote zile? Elimu yake inajulikana kuanzia Primary, O-level nchini, A-level Uganda, Degree zake Merikani na Ulaya sasa haya ya kusema elimu yake ina walakini lengo la kusema hivyo ni nii? Eti mzee Mwinyi ndiye kumhuganisha Ubarozini - mbona alianza kufanya kazi wizara ya mambo ya nje kabla ya Mwinyi kushika madaraka na kupanda panda mpaka akafikia ngazi za kuteuliwa kuwa Balozi - sasa hapo mambo ya Mzee Mwinyi yanatoka wapi? Kwa taarifa kwa wana JF Khamisi hakuwahi kuoa kwenye familia ya Mwinyi, siyo vema kuandika taarifa potofu, aliye oa kwenye familia ya Mzee Mwinyi ni Daktari siyo Khamisi na wanazaliwa baba wawili tofauti kabisa (baba mdogo wa Khamisi) - siyo vizuri ku-dramatise MAMBO.

Haya mambo ya kumshambulia Khamisi na ukoo wa Kagasheki unaonekana kupamba moto baada ya Khamisi kuteuliwa kuwa Waziri kamili, yaani kwa akili za kawaida unaona kuna mkakati wa aina fulani wa kutaka kumpaka matope hoping yata-stick; mtu apimwe kwa matendo yake mbele ya jamii iliyomzuguka siyo mambo ya ushabeki tu.
 
halafu kila siku tunasikia kwa viongozi cdm chama cha kiukoo nawaomba wale wanaotoa post za kuishutumu cdm kwa undugu watujibie na hilo
 
Naongelea utamaduni wa kurithishana vyeo katika chama cha CCM, regardless ya Nyerere kataka hilo au la.

Halafu Nyerere is not above nepotism, sie yeye aliyewajaza Wakurya jeshini na Wazanaki usalama wa Taifa?

Rosemary Nyerere hajawahi kuwa mbunge wa viti maalum wakati wa uhai wa Nyerere?
Sio kweli; Rosemary Nyerere alikuwa mbuge baada ya kifo cha baba yake.
 
Kwa hiyo Nyerere hakuwa na tone la nepotism?
I have tried to prove to you that he did not. Not in the military, not in the security service. Nyerere was a nationalist. And he tried and succeeded in building a Tanzanian nation.
 
Kama hujui kaa kimya waachie watu wa wizara ya mambo ya nje waje wafunguke hapa; kweli alikuwa hana kituo lakini alikuwa anafanya kwenye taasisi [WIPO] iliyompa hiyo hadhi yenu ya ubalozi!!

hahahaha kiongozi povu la nini? nani kakueleza mimi sio mtu wa mambo ya nje :)
kwa taarifa yako wipo haikumteuwa kagasheki ubalozi. kama huelewi usitoe povu tulia uelezwe.
 
democracy ilianzishwa america kama ulikua ujui. ndo maana nilitolea hiyo mifano. naelewa kwasababu gani umekasirika hii ishu ya familia moja kupata vyeo. lakini kumbuka kwamba hamna sheria inayo mkataza mtu kugombania vyeo kisiasa kwasababu ana ndugu mwenye madaraka.
Kwa mgombea uraisi hana budi kuwa ametimiza yafuatayo:


  1. Awe mtanzania
  2. Awe ametimiza miaka 40 na kuendelea
  3. Awe hajawahi kuhukumiwa makosa ya jinai na mauaji
  4. Awe na wanachama waliojiandikisha katika daftari la kupiga kura wasiopungua 200 kwa mikoa 10 ya Tanzania ikiwemo miwili ya Tanzania visiwani.
  5. Awe amelipia shilingi 100,000/=kwa ajili ya fomu
  6. Fomu yake iwe imesainiwa na kupigwa muhuri wa hakimu
  7. Arudishe fomu yake katika tume ya uchaguzi kabla ya saa kumi kamili alasiri siku iliyopangwa
  8. Fomu inapatikana katika ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi


Kwa mgombea ubunge na udiwani hana budi awe ametimiza yafuatayo:


  1. Awe mtanzania
  2. Awe ametimiza miaka 21 na kuendelea
  3. Awe anaweza kusoma na kuandika Kiswahili na kingereza
  4. Awe na wadhamini wasiopungua 25 na wamejiandikisha katika daftari la kupiga kura
  5. Awe amelipia shilingi 50,000 kwa ajili ya fomu ya kugombea
  6. Fomu iwe imesainiwa na kugongwa muhuri wa hakimu mkazi wa halmashauri ya manispaa husika
  7. Awe ana picha 4 za pasipoti
  8. Fomu aridishe kabla ya saa kumi kamili alasiri

jitahidi kutoka kwenye box ulilomo..busara ya kawaida itakupa majibu tu...wasiwas wangu ni kwamba yaweza kukuchukua miaka mingi mno kujinaua kifikra... mungu akuongoe na mapema...
 
hahahaha kiongozi povu la nini? nani kakueleza mimi sio mtu wa mambo ya nje :)
kwa taarifa yako wipo haikumteuwa kagasheki ubalozi. kama huelewi usitoe povu tulia uelezwe.

The substantive issue is not whether WIPO appointed him balozi or not, ni kwamba aliachishwa kazi kwa ubadhirifu na hilo ndio ukatae au ukubali!! Unaweza kuwa uko wizara ya mambo ya nje, if at all but you are not informed!!
 
mimi ninaelimu kuliko wewe, mama yako, baba yako, bwana wako, na kizazi chako! hakifikii elimu yangu hata kwa punje, kama hao wanaoekana hapo tra wachaga wangekuwa wanakidhi tija na vigezo je? taifa lingeyumba kimapato kama ilivyo sasa,watu wangekuwa wankwepa kodi kijinga? hawana muelekeo wala uzalendo wa kazi bali ni wizi na rushwa sasa hivi kwako ndo vigezo? elimu imekupitia pembeni wewe, aba yako elimu aliyokupa ni ya wizi! eti wanakidhi tija,tija gani hata kukusanya kodi hawawezi! wamesomea kodi ya wizi na si kodi inayohitajika kwa maendeleo! mkuu kama upo hapo tra basi dhairi na wewe ni mchaga uliye wekwa na bwana wako hapo! mana hatuoni cha maana mnacho isaidia nchi zaidi ya kuiiia nchi na kuzidiwa na watu wa nje kuwaibia kodi! tangu uko hapo tra unalipi la maana ulilolisaidia taifa lako kwenye mapato zaidi ya kuwaibia walipa kodi wadogo tu mkuu.kifupi wachaga wameteuana hapo tra, na hakuna la maana wanalolifany! shame on you mwizi wewe.

Mkuu umeongea hapo ni TRA je twp
 
Acheni wote wagombee ccm bukoba mjini, hata wake zao kwa sababu ndugu yao sasa hivi ana uhakika wa vitalu vya uwindaji, na wateja anao si amekaa sana majuu!!!

Baada ya hapo sisi yetu macho na masikio 2015.
 
halafu kila siku tunasikia kwa viongozi cdm chama cha kiukoo nawaomba wale wanaotoa post za kuishutumu cdm kwa undugu watujibie na hilo

Ni kweli mkuu si mbowe ameowa kwa muasisi wa chadema mzee mtei sasa unataka ushaidi gani kwa ni chama cha mkwe wake sasa kuna nn tena
 
The substantive issue is not whether WIPO appointed him balozi or not, ni kwamba aliachishwa kazi kwa ubadhirifu na hilo ndio ukatae au ukubali!! Unaweza kuwa uko wizara ya mambo ya nje, if at all but you are not informed!!

Mkuu wangu Ndinani huyu jamaa aliondoka WIPO baada ya kashfa ya ubadhirifu wa fedha za shirika,kashfa ambayo ilimuhusisha na aliyekua Mkurugenzi Mkuu,raia wa Sudan. Inawezekana ni majungu ama ubaguzi wa rangi uliopelekea hizo tuhuma,lakini pili inawezekana walipiga,lakini walikua smart kufuta nyayo! Hadhi ya cheo alipewa kama kawaida ya magamba wanavyojigawia vyeo. Alikua mwanaubalozi Uswizi. Ili watumishi wengine waliokua ktk daraja naye wasilalamike,alipewa hadhi/daraja la ubalozi na wenzake wawili waliokua ktk ubalozi wetu Geneva,Uswizi. Baadaye hii kitu ilizusha malalamiko toka kwa baadhi ya watumishi ktk Wizara ya Mambo ya Nje. Hawa jamaa waliamua kuondoka na kutafuta kazi ktk Mashirika na Taasisi za Kimataifa pale Uswizi!
 
Kiranga,
Kwa Wakurya kujaa jeshini unamwonea Nyerere. In fact ni Nyerere ndiye aliyefungua milango ya kuandikisha vijana wa Kichagga na makabila mengine jeshini. Kabla ya hapo, enzi za Mwingereza, jeshi lilijaa Wakurya na Wanyakyusa. Ngoja nikupe historia ya usalama wa taifa. Hii department kwa muda mrefu ilikuwa chini ya Kambona mpaka mwaka 1967 ndipo ikawekwa chini ya Kawawa. Maafisa wote wa ngazi za juu walitoka kusini kuanzia mzee Mzena, Mahiga, Kitine, hata Apson. Aliyeandikisha vijana wa kizanaki, ambao pia hawakuwa wengi ni mwalimu mmoja wa Kisukuma (nimesahau jina lake,) alifundisha pale Musoma Alliance. Alipojiunga na usalama wa taifa alichukua wanafunzi wake wengi kama recruits na ndipo rafiki zangu wengi wa Kizanaki wakaajiriwa kule. Rose Nyerere aliteuliwa mbunge wa viti maalumu na Mkapa baada ya kifo cha Nyerere, not before.

Jasusi: Asante kwa ufafanuzi muruwa kabisa. Wana JF tujitahidi kueleza mambo kwa kuzingatia ukweli na uhalisia wa mambo ili umma uelimike barabara na si kupotoshwa.
 
Nyie vijampola mnalalamika nini? Mjilaumu mwenyewe kwani hiyo familia wakati wa kupiga kura wanawaleta mamluki? Mbona ni nyie wenyewe mnawachagua? Hebu msituletee umbea hapa. Maamuzi nani awe mbunge wenu ni juu yenu! Amkeni kwenye huo usingizi wa pono haraka sana wakomesheni hawa makowadi wa mafisadi waliokubuhu. Kazi kwenu waonyesheni nguvu ya umma msikubali kutumiwa OK???????
 
Mkuu sasa hii ndio nini tena! Mimi sioni tatizo lolote hapo, kama wanafuata taratibu zote za kugombea nafasi za uongozi kichama wanakosea nini? yaani jina la KAGASHEKI ndilo liwafunge pingu wasiwanie nafasi yoyote kwa kuogopa KUSEMWA.

Mleta post hii sijuhi ana lengo gani hasa - hivi BUBA anaweza kweli kusimama jukwaani na kusema familia (koo) ya Kagasheki itakuwa inahakikisha kwamba member wa ukoo wao akiwania nafasi lazima ashinde come rain or SHINE! Buba hana hulka ya kusema such unhelpful REMARKS, tujaribu kuwa wakweli.
Nimeshukuru kufahamu haya yote sisi tulio mbali na kwetu Bukoba haya hatuyajui.
 
kagasheki sio tu msomi ni mwanabalozi aliebobea na kakaa njema ya nchini sana kutumikia wabongo, awezi kuongea upuuzi kama huo, wewe kamasio cdm basi mchagga.
aliyesema ayo hamisi kagasheki au abubakari kagasheki au na huyo abubakari naye aliwahi kuwa baloz
 
Siasa za bukoba mjini zimejaa udini hasa baada ya Cuf kuanguka na CDM kuwa juu maustaadh wengi warirudi CCM na kusambaza vipeperushi vya uchochezi wa kidini dhambi hii bado inawaandama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom