Mkuu Jasusi,kwenye ka red hapo,sio kwamba 'pesa ni sabuni ya roho'?
Wahaya wanasema 'ekyalema amahela naga ( meaning 'kisichonunulika tupilia mbali hakifai').
Bishanga;
Ahaa haaa sasa tunafahamu kwa nini yule dada kaamua kuolewa na baba yake ili amazalie mjukuu; lakini una uhakika na hii tafsiri?
Chama
Gongo la mboto DSM