Correction: Nyerere akiwa hai hakurithisha mtoto wake hata mmoja cheo. Makongoro amepata ubunge Arusha kwa kutegemea kura za "walevi" wenzake. Amepata uenyekiti wa CCM mkoa wa Mara licha ya kwamba Lowassa alimwaga shillingi milioni 300 kumwangusha. Amepata ubunge wa Afrika mashariki bila kuhonga hata senti tano, tofauti na kijana wa Malecela. It is a minor correction but heavy.
Naongelea utamaduni wa kurithishana vyeo katika chama cha CCM, regardless ya Nyerere kataka hilo au la.
Halafu Nyerere is not above nepotism, sie yeye aliyewajaza Wakurya jeshini na Wazanaki usalama wa Taifa?
Rosemary Nyerere hajawahi kuwa mbunge wa viti maalum wakati wa uhai wa Nyerere?
Back to the big picture assesment, utamaduni wa kurithishana vyeo CCM kama sehemu ya "kuzawadiana" ni systemic.
Ndo maana unakuta kina Karume wamepewa urais na ubalozi.
Mwinyi kapewa uwaziri.
Kina Nyerere wamepewa ubunge several times. Ditto Kawawa, Malima, Makamba etc.
Sasa mpaka kina Le Mutuz wanajisikia entitled simply because ya jina la baba wakati hata kujieleza tu, achilia mbali kucheza underwater 3D Chess, hawawezi.
Kwa hiyo hawa kina Kagasheki hiyo impunity naweza kusema ni tacky, na labda wanazidisha tulivyozoea, lakini bottom line ni kwamba wanatekeleza utamaduni wa CCM tu.
Correction: Nyerere akiwa hai hakurithisha mtoto wake hata mmoja cheo. Makongoro amepata ubunge Arusha kwa kutegemea kura za "walevi" wenzake. Amepata uenyekiti wa CCM mkoa wa Mara licha ya kwamba Lowassa alimwaga shillingi milioni 300 kumwangusha. Amepata ubunge wa Afrika mashariki bila kuhonga hata senti tano, tofauti na kijana wa Malecela. It is a minor correction but heavy.
Balozi Kagasheki ni mbunge wa Bukoba mjini. Abubakari Kagasheki ni mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi wa Wilaya ya Bukoba Mjini, jumuiya iliyoko chini ya CCM. Abdul Kagasheki anagombea awe Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kutokea Bukoba Mjini. Suedi Kagasheki anagombea awe mjumbe wa kuwakilisha Wilaya kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Taifa tokea Bukoba Mjini.
Katika hotuba yake kwa wajumbe waliomchagua Abubakari Kagasheki, amesema na ninamnukuu, " Nawashukuru familia yangu kwa kuniwezesha Kwa hali na mali katika uchaguzi huu. Kwa namna ya pekee niwashukuru Abdul Kagasheki na Hamis Kagasheki kwa kuniwezesha kwa hali na mali kushinda uchaguzi huu.
Ndugu wajumbe, Familia yetu inayo historia kubwa katika CCM kiasi kwamba Marehemu Baba wa Taifa akidai Uhuru alilala kwa Baba yangu, na ndio maana hivi karibuni niliitwa Ikulu kwa ajili ya kupokea nishani iliyotolewa na rais kwa ajiri ya baba yangu. Hivyo Familia yetu inaijua CCM zaidi ya yeyote katika wilaya hii.Hivyo mtu wa FAMILIA YETU AKIGOMBEA TUTA HAKIKISHA ANAPITA KWA NJIA YOYOTE ILE" mwisho wa kunukuu.
Wanachama, wadau, na wakereketwa wa CCM Wilayani Hapa wamebaki na bumbuwazi na kujiuliza HIVI SIASA ZA CCM BUKOBA MJINI KUHODHIWA NA FAMILIA MOJA, ni kwa ajili ya MASLAHI YA CHAMA, WANACHAMA NA TAIFA AU NI ZA KUJINUFAISHA BINAFSI? NA JE, KWA VITISHO HIVI CHAMA BUKOBA MJINI KINA ELEKEA WAPI?
Kiranga,
Kwa Wakurya kujaa jeshini unamwonea Nyerere. In fact ni Nyerere ndiye aliyefungua milango ya kuandikisha vijana wa Kichagga na makabila mengine jeshini. Kabla ya hapo, enzi za Mwingereza, jeshi lilijaa Wakurya na Wanyakyusa. Ngoja nikupe historia ya usalama wa taifa. Hii department kwa muda mrefu ilikuwa chini ya Kambona mpaka mwaka 1967 ndipo ikawekwa chini ya Kawawa. Maafisa wote wa ngazi za juu walitoka kusini kuanzia mzee Mzena, Mahiga, Kitine, hata Apson. Aliyeandikisha vijana wa kizanaki, ambao pia hawakuwa wengi ni mwalimu mmoja wa Kisukuma (nimesahau jina lake,) alifundisha pale Musoma Alliance. Alipojiunga na usalama wa taifa alichukua wanafunzi wake wengi kama recruits na ndipo rafiki zangu wengi wa Kizanaki wakaajiriwa kule. Rose Nyerere aliteuliwa mbunge wa viti maalumu na Mkapa baada ya kifo cha Nyerere, not before.
Correction: Nyerere akiwa hai hakurithisha mtoto wake hata mmoja cheo. Makongoro amepata ubunge Arusha kwa kutegemea kura za "walevi" wenzake. Amepata uenyekiti wa CCM mkoa wa Mara licha ya kwamba Lowassa alimwaga shillingi milioni 300 kumwangusha. Amepata ubunge wa Afrika mashariki bila kuhonga hata senti tano, tofauti na kijana wa Malecela. It is a minor correction but heavy.
kagasheki sio tu msomi ni mwanabalozi aliebobea na kakaa njema ya nchini sana kutumikia wabongo, awezi kuongea upuuzi kama huo, wewe kamasio cdm basi mchagga.
Mkuu Jasusi,kwenye ka red hapo,sio kwamba 'pesa ni sabuni ya roho'?
Wahaya wanasema 'ekyalema amahela naga ( meaning 'kisichonunulika tupilia mbali hakifai').