Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Ameyasema hayo katika kipindi cha dk 45 ITV kuwa mwaka 2015 atachukua fomu kugombea ubunge katika jimbo lake aliloangushwa mwaka 2010,atarudi tena licha kwamba wananchi walimkataa mwaka 2010 lakini sasa wanampenda maana amekua muhimu kwao.