Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba maoni yako kuhusu NSSF wakati wa Dau na ya baada yake.Jamani, kila watu wakijaribu kusahau machungu ya NSSF, ghafla anatokea mpuuzi mwingine kutukumbusha kitu kile kile! Please, watu wamepumzika kusubiri kauli ya wenye dhamani na mahakama ya nchi hii (kama itafikia hatua hiyo). Dont take us back kujadili upuuzi huu, PLEASE.
Kumbe Dau alikuwa visionary person
NSSF ya sasa na ya Dau ni mbingu na ardhi
unasema?nchi hii kama si mgalatia basi ni unapikiwa majungu mpaka uchoke, kaingia Mhe. Prof. Alhaji CAG yameanza makelele utadhan anachinjwa nguruwe parokiani. jamani hii nchi ni yetu wote
Wagalatia wanatamani ile kazi angepewa katekista wa parokia.
Dau alikuwa anavaa 'viatu namba 9' pale NSSF wakaenda kumpeleka Prof Kahyarahara anavaa namba 4 Halafu wakategemea vitamtosha vyema
Dau akili kubwa Sana ile sio zao la Shule Za Kata
Ili uweze kumsurubisha Dau kwa hela za nssf inabidi kwanza uanze kuisurubisha ccm aka gamnas kwanza, vinginevyo labda awekwe mahabusu kwa kumkomoa tu, kama wengine wanavyokomolewa wako mahabusu sijui miaka 4 eti uchunguzi bado unaendelea, uchafu wote wa pale ni wa ccm aka gambas, labda mumshitaki kwa udini hapo sawa, kwa hili mtamfunga kweli.Sasa hela alizopiga zitamtokea puani, sii leo hata kesho uchunguzi ukikamilika Mtume wenu Dau atasulibiwa na kupigwa mijeledi Hamsa.
Ili uweze kumsurubisha Dau kwa hela za nssf inabidi kwanza uanze kuisurubisha ccm aka gamnas kwanza, vinginevyo labda awekwe mahabusu kwa kumkomoa tu, kama wengine wanavyokomolewa wako mahabusu sijui miaka 4 eti uchunguzi bado unaendelea, uchafu wote wa pale ni wa ccm aka gambas, labda mumshitaki kwa udini hapo sawa, kwa hili mtamfunga kweli.
nani amkomoea dau? akina seth na rugemalira ikoje??
dau kaleta hasara kuliko faida, kama alikuwa anapitisha hela za CCM huko, wakiingia chadema je?
acha udini
Sasa hela alizopiga zitamtokea puani, sii leo hata kesho uchunguzi ukikamilika Mtume wenu Dau atasulibiwa na kupigwa mijeledi Hamsa.
Tukimaliza kumtetea tukatawadhe tuswali