Balozi Awakumbuka Watanzania Kwa Ujio Wa Membe!!

Chupaku

JF-Expert Member
Oct 15, 2008
1,091
401
Ifuatayo ni taarifa ya kutoka Ubalozini kwa Watanzania waishio Canada..........................................


Kwa niaba ya Mheshimiwa Balozi Peter Kallaghe, naomba kuchukua fursa
hii kuwajulisha kuwa Mheshimiwa Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi nchini
Canada kuanzia tarehe 11 Januari hadi 15 Januari, 2010.

Akiwa Ottawa Mhe. Waziri Membe atapenda kukutana na Watanzania walioko Canada. Ubalozi unafanya utaratibu wa kupata ukumbi kwa ajili ya
mkutano huo ambao utafanyika siku ya tarehe 12, Januari, 2010 jioni
saa Kumi na Mbili na Nusu hadi saa Tatu na Nusu usiku (6:30Pm-9:30Pm).
Tutawajulisha sehemu ya mkutano na anuwani ya shughuli hiyo kabla ya
mwisho wa juma hili hivyo tunaomba muweke shughuli hii katika ratiba
zenu.

Aidha, tunaomba kila atayepata ujumbe huu atusaidie kumjulisha/kuwajulisha Watanzania wenzetu ambao hatukuweza kuwatumia
barua pepe hii kutokana na kutokuwa na anuwani zao.

Kama mnavyojua shughuli ni watu na watu ndiyo sisi sote hivyo tunaomba
tujitokeze kwa wingi kuja kukutana na Mhe. Waziri Membe ambaye kama
wengi mnavyokumbuka aliishi hapa Ottawa wakati akifanya kazi kwenye
Ubalozi wetu huu.

Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu,

Kny Balozi​
 
Ifuatayo ni taarifa ya kutoka Ubalozini kwa Watanzania waishio Canada..........................................​



Kwa niaba ya Mheshimiwa Balozi Peter Kallaghe, naomba kuchukua fursa
hii kuwajulisha kuwa Mheshimiwa Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi nchini
Canada kuanzia tarehe 11 Januari hadi 15 Januari, 2010.​

Akiwa Ottawa Mhe. Waziri Membe atapenda kukutana na Watanzania walioko Canada. Ubalozi unafanya utaratibu wa kupata ukumbi kwa ajili ya
mkutano huo ambao utafanyika siku ya tarehe 12, Januari, 2010 jioni
saa Kumi na Mbili na Nusu hadi saa Tatu na Nusu usiku (6:30Pm-9:30Pm).
Tutawajulisha sehemu ya mkutano na anuwani ya shughuli hiyo kabla ya
mwisho wa juma hili hivyo tunaomba muweke shughuli hii katika ratiba
zenu.​

Aidha, tunaomba kila atayepata ujumbe huu atusaidie kumjulisha/kuwajulisha Watanzania wenzetu ambao hatukuweza kuwatumia
barua pepe hii kutokana na kutokuwa na anuwani zao.​

Kama mnavyojua shughuli ni watu na watu ndiyo sisi sote hivyo tunaomba
tujitokeze kwa wingi kuja kukutana na Mhe. Waziri Membe ambaye kama
wengi mnavyokumbuka aliishi hapa Ottawa wakati akifanya kazi kwenye
Ubalozi wetu huu.​

Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu,​


Kny Balozi​


Nyie watu wa Canada bwana . Nini kinaufanay Ubalozi uje hapa JF kupeleka taarifa hizi ina maana hamna touch na watanzania siku zote hizo ? Je mna uhakika kwamba watu wa Canada wote wanasoma JF amakuna kitu kinatokea mie sijui?
 
Katumwa huyo kwenda kuchukua mchango kwa Sin bin Clair?
 
Balozi Awakumbuka Watanzania Kwa Ujio Wa Membe!! Chupaku
user_online.gif
Today, 03:36 PM

- Yaani haya majungu kumbe yapo kila mahali, sasa mkuu hebu fafanua hapo balozi huwa hawakumbuki kutokana na kifungu kipi cha sheria ya jamhuri yetu?

- Au mliwahi kwenda huko ofisini mkafukuzwa na kukataliwa kusaidiwa, I mean balozi wetu hakupelekwa huko kuwakumbuka wabongo, wabongo wanatakiwa wajiandikishe ubalozini wao wenyewe kwa hiari yao wanapofika tu kwenye nchi je mmetimiza hayo au ni majungu tu haya ya kukumbukana?

Respect.


FMEs!
 
Huyu Membe anakwenda chukua per diem yake Canada na kupumzika!
Kama mbongo uko Canada ni wastage of time,bora ufanye shughuli zako !Ni hawa wanatetea serikali ya kifisadi ya CCM.Gharama za usafiri na masurufu zinaweza kununua vitanda pale Temeke hospital.

Kama wewe ni mtoto wa mafisadi bongo na watu wako kwenye system,good for you to attend.
 
icon1.gif
Re: Balozi Awakumbuka Watanzania Kwa Ujio Wa Membe!!


Huyu Membe anakwenda chukua per diem yake Canada na kupumzika!
Kama mbongo uko Canada ni wastage of time,bora ufanye shughuli zako !Ni hawa wanatetea serikali ya kifisadi ya CCM.Gharama za usafiri na masurufu zinaweza kununua vitanda pale Temeke hospital.

Kama wewe ni mtoto wa mafisadi bongo na watu wako kwenye system,good for you to attend.

- Duh! Very interesting!

Respect.


FMEs!
 
Duh aliyoiandaa hiyo taarifa!!! Yaani hata wahudhuriaji wenyewe inabidi wafikirie kwanza. Anakuja kukutana kufanya nini? Ajenda au ni kukusanyana tu na kutazamana? Halafu mhh shughuli ni watu .......... (nt attractive)
 
I guess atawaambia Tanzania Wasomi warudi Tanzania kuchangia maendeleo ya nchi!
What a cock up!
 
Back
Top Bottom