Balozi Ami Mpungwe: Tanzania bado inanunua sukari Uganda, Rais Museveni hakumpa taarifa sahihi Rais Samia

sukari ya uganda ipo nyingi Tanzania nilidhan kuna sukari aina mpya za uganda anazozisemea mama
 
..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.

..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.

..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.

Ni kawaida yake kuchemka,rejea kesi ya ugaidi hata sisi raia wa kawaida tuna proper information.
 
Kwa vyovyote vile kauli ya Rais haikupaswa kutolewa kwa style ile na katika hadhira ile. Kauli za ukakasi angemuachia mwendazake zake tu aende nazo. Kumwita Waziri wako hafanyi kitu cha mantiki sio jambo jema hata kidogo.
 
Kwa vyovyote vile kauli ya Rais haikupaswa kutolewa kwa style ile na katika hadhira ile. Kauli za ukakasi angemuachia mwendazake zake tu aende nazo. Kumwita Waziri wako hafanyi kitu cha mantiki sio jambo jema hata kidogo.
Alishasema kuwa yeye na yule dhalim aliyeko motoni sasa ni kitu kimoja

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tutadondokea kwa mipango sasa hapo ni kila siku mtakua mnaombea watu vifo tu badala ya kuwaza njia nyingine za kujikwamua
Ndiyo maana aliidanganya dunia kupitia interview yake BBC kuwa washitakiwa wenzake Mbowe wameshahukumiwa na wako Jela. Ewe Mwenyezi Mungu ingilia kati tena kama ukivyofanya March mwaka huu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.

..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.

..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
"Harmonizer anacho kifua kizuri kama Cha tembo-samia suluh hasan 2021"
 
Balozi Ame Mpongwe amesema Tanzania haijaacha kununua sukari kutoka Uganda kikiwemo kiwanda cha Kilombero sugar kilichonunua tani 4300 licha ya bei za Uganda kutokuwa za kishindani ukilinganisha na maeneo mengine katika ukanda huu.

Hata Bakhresa ambaye kiwanda chake badi kinajengwa huko Sadani anaimport sukari kutoka Uganda, amesema balozi

Hivyo taarifa alizotoa Rais Museveni kwa Rais Samia hazikuwa sahihi sana, ameandika balozi kwenye ukurasa wake wa twitter.


Maendeleo hayana vyama!
CCM ni takataka kabisa
 
Kwa vyovyote vile kauli ya Rais haikupaswa kutolewa kwa style ile na katika hadhira ile. Kauli za ukakasi angemuachia mwendazake zake tu aende nazo. Kumwita Waziri wako hafanyi kitu cha mantiki sio jambo jema hata kidogo.
Tena mbele ya wageni aisee.
 
Back
Top Bottom