..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.
..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.
..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
nonsenseHii nchi inaweza kuzalisha sukari ya kutosha ndani na ya kubaki kuuza nje, aibu ndogo kama hizi zingeweza kuepukika.
Huyo hata akipigwa na radi tutajua ni dola imemshughulikia.Ami Mpungwe ajiangalie. Hii ni Africa
Kulingana na huyo balozi, Uganda sukari yake bei siyo rafiki.sukari ya uganda ipo nyingi Tanzania nilidhan kuna sukari aina mpya za uganda anazozisemea mama
Ndiyo maana aliidanganya dunia kupitia interview yake BBC kuwa washitakiwa wenzake Mbowe wameshahukumiwa na wako Jela. Ewe Mwenyezi Mungu ingilia kati tena kama ukivyofanya March mwaka huuKeshazoea vya kupikiwa tu
Kulingana na huyo balozi, Uganda sukari yake bei siyo rafiki.
Alishasema kuwa yeye na yule dhalim aliyeko motoni sasa ni kitu kimojaKwa vyovyote vile kauli ya Rais haikupaswa kutolewa kwa style ile na katika hadhira ile. Kauli za ukakasi angemuachia mwendazake zake tu aende nazo. Kumwita Waziri wako hafanyi kitu cha mantiki sio jambo jema hata kidogo.
Ndiyo maana aliidanganya dunia kupitia interview yake BBC kuwa washitakiwa wenzake Mbowe wameshahukumiwa na wako Jela. Ewe Mwenyezi Mungu ingilia kati tena kama ukivyofanya March mwaka huu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hakika Mungu hajawahi kufeli na haya yanatokea ili neno litimieNdiyo maana aliidanganya dunia kupitia interview yake BBC kuwa washitakiwa wenzake Mbowe wameshahukumiwa na wako Jela. Ewe Mwenyezi Mungu ingilia kati tena kama ukivyofanya March mwaka huu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Adui muombee njaa na mardhiHuyo hata akipigwa na radi tutajua ni dola imemshughulikia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
"Harmonizer anacho kifua kizuri kama Cha tembo-samia suluh hasan 2021"..hangaya alitakiwa awe na taarifa sahihi kuhusu biashara kati ya Tz na Ug wakati anakutana na rais museveni.
..na taarifa hizo alitakiwa apewe na wasaidizi wake, au aziagize toka kwa wasaidizi wake, kama sehemu ya kujiandaa na mkutano wake na raisi wa Ug.
..katika hili hangaya na timu yake wametuangusha. They did not do their home work.
Watesi wetu wakifa kwetu ni vicheko tu, kama Mungu wetu akiwapatiliza watesi wetu sisi ni nani kupingana naye?Tutadondokea kwa mipango sasa hapo ni kila siku mtakua mnaombea watu vifo tu badala ya kuwaza njia nyingine za kujikwamua
HahahahaAlishasema kuwa yeye na yule dhalim aliyeko motoni sasa ni kitu kimoja
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
CCM ni takataka kabisaBalozi Ame Mpongwe amesema Tanzania haijaacha kununua sukari kutoka Uganda kikiwemo kiwanda cha Kilombero sugar kilichonunua tani 4300 licha ya bei za Uganda kutokuwa za kishindani ukilinganisha na maeneo mengine katika ukanda huu.
Hata Bakhresa ambaye kiwanda chake badi kinajengwa huko Sadani anaimport sukari kutoka Uganda, amesema balozi
Hivyo taarifa alizotoa Rais Museveni kwa Rais Samia hazikuwa sahihi sana, ameandika balozi kwenye ukurasa wake wa twitter.
Maendeleo hayana vyama!
Kabisa aiseeWatesi wetu wakifa kwetu ni vicheko tu, kama Mungu wetu akiwapatiliza watesi wetu sisi ni nani kupingana naye?
Tena mbele ya wageni aisee.Kwa vyovyote vile kauli ya Rais haikupaswa kutolewa kwa style ile na katika hadhira ile. Kauli za ukakasi angemuachia mwendazake zake tu aende nazo. Kumwita Waziri wako hafanyi kitu cha mantiki sio jambo jema hata kidogo.