Ilifahamika mapema,ndiyo maana tukamwambia CR 7 apumzike tu asisumbuke kwenda huko
He!?shughuli imeisha kalale..!Channel gani wanaonesha
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya tano
Wivu wa ......ki....!Yani ukisikia usenge ndo huu ,,,tuzo ilisgapangwa kitambo ,,Aya bana na andunje wenu,,
Tunajipanga tunakuja
SS3Channel gani wanaonesha
PovuYani ukisikia usenge ndo huu ,,,tuzo ilisgapangwa kitambo ,,Aya bana na andunje wenu,,
Vvd kafanya kipi cha ziada??Yani asilimia tisini ya comment zote za ukurasa wa UEFA Watu wanakataa Messi kuwa mshindi wa hii tuzo !!!!
Yani Kila mmoja ni NO! NO! NO !
Lakini kwakua ni biashara hizi basi ndo hvyo kiukweli mm ni shabiki wa Ronaldo Ila kwa mwaka huu VVD ,kastahil wamezingua kinoma yani
Povu