Tuzo ya Ballon d'Or ya 2019 inatarajiwa kutolewa leo Desemba 2, 2019, huko Theatre du Chatelet, Paris. Sherehe rasmi itaanza saa 19:30 GMT (1:00am, Desemba 3, IST).
Luka Modric alishinda tuzo ya Ballon d'Or mnamo 2018 na kuvunja utawala wa Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wa tuzo hiyo kwa miaka 10 iliyopita
Ronaldo na Messi wote wameshinda tuzo hiyo mara tano, lakini utawala wao unaweza kuvunjwa tena mwaka huu na nyota wa Liverpool na Uholanzi, Virgil van Dijk. Beki huyo alipewa tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa UEFA, huku akiwashinda wawili hao
Messi kwa sasa anapewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo yake ya sita ya Ballon d'Or, licha ya kupoteza kwenye Ligi ya Mabingwa na Copa del Rey na kuinua kombe la Liga na Barcelona.
Alishinda Kiatu cha Dhahabu cha Europa akiwa na mabao 36, ingawa kushindwa kushinda Copa Amerika na Argentina msimu huu wa joto kunaweza kuathiri nafasi zake
Mwezi Septemba alipewa tuzo ya Mchezaji bora wa Wanaume wa FIFA na hiyo inaweza kumsaidia kushinda tuzo hiyo dhidi ya Van Dijk
Hata hiyo kumesambaa icha katika mitandao ya kijamii ikionesha kuwa Mshindi wa msimu huu wa tuzo hiyo ni Lionel Mesii akiwa amemshinda Van Vijk huku Cristiano Ronaldo akiwa katika nafasi ya nne
*****
My take:
King leo lazima achukue ballon d or yake ya sita, anayebisha afanye kama anajikuna
**
UPDATES
Orodha ya Wachezaji bora walioshika nafasi ya 11 hadi ya 30 kama ilivyotolewa na Waandaaji wa tuzo ya Ballon d'Or
Orodha ya Wachezaji 10 katika Utoaji wa tuzo ya Ballon d'Or iliyotolewa na kushuhudiwa Messi akinyakuwa tuzo hiyo kwa mara ya sita
Mshambuliaji wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi ametangazwa kuwa Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia (Ballon D'or) kwa mwaka 2019
Luka Modric alishinda tuzo ya Ballon d'Or mnamo 2018 na kuvunja utawala wa Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wa tuzo hiyo kwa miaka 10 iliyopita
Ronaldo na Messi wote wameshinda tuzo hiyo mara tano, lakini utawala wao unaweza kuvunjwa tena mwaka huu na nyota wa Liverpool na Uholanzi, Virgil van Dijk. Beki huyo alipewa tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa UEFA, huku akiwashinda wawili hao
Messi kwa sasa anapewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo yake ya sita ya Ballon d'Or, licha ya kupoteza kwenye Ligi ya Mabingwa na Copa del Rey na kuinua kombe la Liga na Barcelona.
Alishinda Kiatu cha Dhahabu cha Europa akiwa na mabao 36, ingawa kushindwa kushinda Copa Amerika na Argentina msimu huu wa joto kunaweza kuathiri nafasi zake
Mwezi Septemba alipewa tuzo ya Mchezaji bora wa Wanaume wa FIFA na hiyo inaweza kumsaidia kushinda tuzo hiyo dhidi ya Van Dijk
Hata hiyo kumesambaa icha katika mitandao ya kijamii ikionesha kuwa Mshindi wa msimu huu wa tuzo hiyo ni Lionel Mesii akiwa amemshinda Van Vijk huku Cristiano Ronaldo akiwa katika nafasi ya nne
*****
My take:
King leo lazima achukue ballon d or yake ya sita, anayebisha afanye kama anajikuna
**
UPDATES
Orodha ya Wachezaji bora walioshika nafasi ya 11 hadi ya 30 kama ilivyotolewa na Waandaaji wa tuzo ya Ballon d'Or