Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Sasa huyo ndio anafaa yule Mmoroko penaldo anarukakruka huko Italy
Kubalance mzani tuzo apewe VVD
Hayaa our best farmer of the year isView attachment 1279866
Mkuu unapovukwa kwa utani ,kwani R7ni shemeji yako....Huu NI utani R7 ni Bora ila Messi ni wa pekee!Yani ww ni ndama kabsa na hata mpira huujui Ila unafata mkumbo tu ,,tatizo watu wanaishi kwa mazoea huyoMessi mwenyewe aAnamkubali CR7 ,Sasa ushabiki maandazi hukuhuku Africa kwetu na ndo maana hatuendelei ,Yani kisa Messi kapata tuzo ndo umdhihaki Ronaldo ama kweli!!!! Hii ndo Africa na tunafata mkumbo tu mtu yoyote anayejua mpira hawezi kumdhihaki Ronaldo hata Mara moja ,,kitu gani ambacho hajafanya ,,labda tu nikusaidie jitahidi kupunguza mihemko na mahaba katika maisha yako u,pia jitahidi kuacha kuishi kwa mazoea punda wee!!!!?????????
Mtoe VVD Liverpool na mtoe Messi Barcelona unadhani ni timu ipi inaathirika?Hahahahahahahahah SERIOUS Leo hii VVD apate Injury hata miezi 3 nje Liverpool haiwezi kusheki Mkuu,Acha utani Mkuu acha kuongea vitu kiutaniutani.
Jinsi ulivyoandika unaonesha ni kilaza sana wewe.Usinifananishe mimk na wewe we upo ardhini mi niko mbinguni.Ronaldo saiz amebaki kuwa mpiga penalt.mzigo pe Juve,mzigo kwa wachezaji wenzake.Mwaka huu kachukua tuzo hiyo ukulima bora kwani kuna ubaya gani?nayo ni tuzo kama tuzo zingine.Muda ni ukuta ukishundana nao unashindwa wewe.Kama unataka basi kakatr rufaa mbuzi weweYani ww ni ndama kabsa na hata mpira huujui Ila unafata mkumbo tu ,,tatizo watu wanaishi kwa mazoea huyoMessi mwenyewe aAnamkubali CR7 ,Sasa ushabiki maandazi hukuhuku Africa kwetu na ndo maana hatuendelei ,Yani kisa Messi kapata tuzo ndo umdhihaki Ronaldo ama kweli!!!! Hii ndo Africa na tunafata mkumbo tu mtu yoyote anayejua mpira hawezi kumdhihaki Ronaldo hata Mara moja ,,kitu gani ambacho hajafanya ,,labda tu nikusaidie jitahidi kupunguza mihemko na mahaba katika maisha yako u,pia jitahidi kuacha kuishi kwa mazoea punda wee!!!!?????????
Laporte is 2nd best CB Baada ya VVD in the World Right Now na kutokuwepo kwake Manchester city kwa sasa kume prove He's a big miss.......VVD ni World class defender right now unaniambiaje kirahisi rahisi tu mchezaji kama huyu hana impact kwenye timu yake.Mtoe VVD Liverpool na mtoe Messi Barcelona unadhani ni timu ipi inaathirika?
Yani kushabikia timu badala ya mpira shida sana.Laporte is 2nd best CB Baada ya VVD in the World Right Now na kutokuwepo kwake Manchester city kwa sasa kume prove He's a big miss.......VVD ni World class defender right now unaniambiaje kirahisi rahisi tu mchezaji kama huyu ana impact kwenye timu yake.
Hatutaki mambo ya jecha hapa...haki itendeke..na imetendeka haswaaa kwa best player ever 😊😊Kubalance mzani tuzo apewe VVD
Aaah wapi...wampe tu la.pulga tuzo yake
huyu Kiumbe Kama sio kubalance ushabiki angechukua kiatu Hadi 2020
Hahaha messi ana wavuruga akili.... paulo maldini aliwahi kusema kwamba messi atashinda hizi tuzo mpaka nwisho wake wa kucheza soccer utakapo jiriMshkaji analeta ujecha hapa
Jamaa kama mchawi Ana cheza mpira balaa
Hahaha messi ana wavuruga akili.... paulo maldini aliwahi kusema kwamba messi atashinda hizi tuzo mpaka nwisho wake wa kucheza soccer utakapo jiri
Hahaha Jamaa anapiga chenga aiseeNimeanza kufuatilia ball from 97 mpaka now, but sijaona kama Messi..youtube nimewafuatilia wa zamani sijaona pia...huyu jamaa achunguzwe vizuri isijekuwa wakati anazaliwa alitoka na mpira wake
Mkuu unapovukwa kwa utani ,kwani R7ni shemeji yako....Huu NI utani R7 ni Bora ila Messi ni wa pekee!