Zalendohalisi
Senior Member
- Nov 2, 2007
- 120
- 2
Hii case inazidi kuwa kubwa na kama jamaa wanaitumia state dept ya US kumsakama Balali basi wajue kuwa wanaikuza hii case bila sababu yoyote. Kuna watu wengi sana wamehusika na wizi huu BOT. Kashfa hii inakwenda mpaka mlangoni mwa usalama wa taifa (TISS). Balali inabidi ajue kuwa anacheza na watu hatari sana na inabidi awe kwenye record bora haraka sana iwezekanavyo.
Bibie Mwafrika nakubaliana nawe fika;
Inawezekani pia wanatoa oyo kwa wengine ambao wamekimbilia marekani kujificha. Mimi ningependa wigo huu utanuke na hawa wamerekani wachukue interest ya ku-investigate hii scandali kwa vile hata kina Mgonja na majumba yao San Fransisco anakoishi ($800,000) mkewe pia wamulikwe.
Kama huyu balozi wa marekani atatishia ku block the $680 million za MCC kama alivyosema, huenda JK akafurukuta na kubwaga manyanga na kuwatosa wenziwe, which as I know him he can being an opportunist na mpenda sifa!
Balali was warned by TISS and PCB several times, hata baada ya ile document ya Jitu ku be circulated alifuatwa na TISS akaambiwa vipi bwana, lakini hakusikia kwa vile Mkapa was on his side, wakati Mkapa mwenyewe keshaondoka. Nakumbuka walipokutana BWM na akapewa kazi hiyo Hilton Washington DC 1997 baada ya kuwa introduced na Anna Muganda through Anna Mkapa! Ama kweli dunia tambara bovu .. can you believe akamwacha mkewe akamchkua Anna Muganda and they had their wedding vows kwenye Canals kule Venice Italy! Sasa kazi hana akiwa DC tena ten years later!
Sikio la kufa halisikii!