MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Nahisi unaamini mkopo wa serikali ni kama kukopa kwa mpemba. Mikopo ya serikali ina vigezo. Nchi inachunguzwa na hata mradi unachunguzwa. Ukiona unakopeshwa, fahamu unakubalika. Wanaokopesha siyo failed state, ni nchi na taasisi zinazojitambua. Sasa wewe kama unazomea-zomea kutafuta ushindi kama kwenye Ndondo cup, ni ufahamu mdogo.Walinda legacy wamechachamaa! 😁😁😁
Magufuli alikuwa anakopa utadhani hakuna kesho!
Aina ya mikopo aliyokuwa akichukua Magufuli siyo ya masharti nafuu ni kitanzi kitupu!