Balali: Nini kimemsibu???

Bowbow

JF-Expert Member
Oct 20, 2007
541
31
Wandugu,

Ni muda mrefu tangu kupata updates ya nini kinaendelea kuhusu Balali.

Hakuna anaejua kuhusu afya yake?????

Je, Ni lini serikali ya Tanzania itamrudisha nchi kuja kutoa maelezo yake????

Je uchunguzi unaofanywa na kamati ya EPA, mbona haujamhoji mhusika mkuu?

Kamati ya EPA Wanapata wapi taarifa nyeti bila backup ya Balali???

My take:
Tunahitaji kuweka presha zaidi kutaka Balali arudishwe. Ninatoa wito kwa wabunge wetu kuihoji serikali iweke hadharani kwamba ni lini huyu bwana atarudishwa nchini kujibu tuhuma zinazomkabili.

Zitto na Dr. Slaa mbona mmekuwa kimya kwa hili suala bungeni??
Kwa nini msiwakilishe hoja ingine bungeni????
 
i have a feeling elections are gonna be sooner than we thought!! yani from december hadi saizi scandal ngapi nje? tutafika 2009 kweli??
 
Wandugu,

Ni muda mrefu tangu kupata updates ya nini kinaendelea kuhusu Balali.

Hakuna anaejua kuhusu afya yake?????

Je, Ni lini serikali ya Tanzania itamrudisha nchi kuja kutoa maelezo yake????

Je uchunguzi unaofanywa na kamati ya EPA, mbona haujamhoji mhusika mkuu?

Kamati ya EPA Wanapata wapi taarifa nyeti bila backup ya Balali???

My take:
Tunahitaji kuweka presha zaidi kutaka Balali arudishwe. Ninatoa wito kwa wabunge wetu kuihoji serikali iweke hadharani kwamba ni lini huyu bwana atarudishwa nchini kujibu tuhuma zinazomkabili.

Zitto na Dr. Slaa mbona mmekuwa kimya kwa hili suala bungeni??
Kwa nini msiwakilishe hoja ingine bungeni????

kw kw kw kw,
 
Siku balali akirudi nchi itakuwa na matatizo maana serikali ya muungwana itaanguka ghafla, everything will be done kuakikisha balali harudi Tanzania
 
Siku balali akirudi nchi itakuwa na matatizo maana serikali ya muungwana itaanguka ghafla, everything will be done kuakikisha balali harudi Tanzania

Vitaumbwa upya na nchi itageuka.

Je watuhumiwa wote ikiwa ni pamoja na Balali NATURAL justice itatendekaje kawa na yeye hatosikilizwa??????


Je repoti ya kamati ya EPA itakamilika bila kusikia kutoka kwa balali?????
 
Some one tells Balali "get the hell out of Tz and never come back!!
Go anywhere in the world....hide and if you feel someone is following you...run...run Balali run even faster!!!!"

This is my feeling....
 
Back
Top Bottom