balali na wenzake wako wapi?

XINGLUX

Member
Mar 31, 2008
17
1
Napenda kufahamu Gavana balali na mafisadi wenzake mnampango nao gani? mpaka sasa hivi sababu tunaona wahusika hawapo na viongozi mnakaa kimya au ile ilikuwa ni mikwala tunaomba mlifanyie kazi swala hili
Nadani mnafahamu jiinsi tulivyooumia mpaka sasa au sababu fedha hizo zimeanza kurudishwa
 
Nasikia yuko visiwa vya Malta anakula vizuri mapesa yetu (Pay As You Earn). Ile ilikuwa mikwara tuu, Balali sidhani kama watamkamata, labda wawakamate kwanza Mkapa, Mgonja, Hosea, Sumaye, Chenge n.k
 
Back
Top Bottom